Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Hili liko wazi
 
Mwendazake alifanikwa kujaza ujinga wengi sana ili aonekane yeye ni very special,ninyi ndio wale mlioaminishwa nchi yetu ndio ya kwanza duniani kwenye rasilimali za asili kama madini,Yani kuna watu wajinga huwa wameaminishwa kwamba tz ndio nchi iliobarikiwa kuwa na madini mengi kuliko nchi yoyote duniani.
Watu wanauliza imekuwaje mwendazake afe?Wamekufa mitume na manabii yeye ni nani mpaka iwe ajabu?
 
mbona unaumia fatilia hotuba za tundu lisu wakati wa kikwete tulipata asilimia 3 ya mapato na madini yalienda nje tena bila ya sisi kukagua wa kujua.


Akili yako haina details za kutosha unamtizamo hasi kwa sababu ya influence wewe kama wewe ni sifuri.
 
Sukuma gang mna maoni Gani kwa Sasa.... Vipi mradi ulihujumiwa eeh??

JPM aliwajaza ujinga kuamini Kila kitu ni conspiracy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…