Mradi wa JHNPP umeondoa mgawo wa Umeme

Mradi wa JHNPP umeondoa mgawo wa Umeme

Midimay

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
3,036
Reaction score
5,039
Kama ambavyo sisi hulalamika pale wanaotuhudumia wanapofanya vibaya, basi ni jambo jema la kiungwana kuwakumbuka na kuwapongeza wanapofanya vizuri.

Katika maisha yangu, sijawahi kushuhudia Tanzania ikiwa na umeme unaowaka mfululizo kama mwaka huu 2024 baada ya JHNPP kuanza uzalishaji. Kwangu ni kama ndoto.

Mungu amweke pema jemadari wetu JPM aliyeamua Ku take risk na hongera kwa wenzake wote waliomsaidia kufanikisha hili kama vile:

1. Rais wa sasa toka akiwa VP kwa JPM na hata baada ya kurithi alihakikisha inakamilika.
2. VP Philip Mpango kuanzia akiwa Waziri wake wa Fedha hadi sasa akiwa VP kwa SSH.
3. Aliyekuwa waziri wa nishati Dr. Medard Kalemani. Aliupiga mwingi.
5. NWM Dotto Biteko kwa kukamilisha kwa umakini wa hali ya juu.
6. Mhe. Mwigulu Nchemba
7. January Makamba
8. Makatibu Wakuu Kiongozi wa awamu zote mbili na makatibu wakuu wote
9 Mameneja wa miradi
10. Tanesco wote
11. TRA wote
12. Watanzania wote na wawekezaji kwa kulipa kodi.

Hakika huu mradi ni mradi wa sura ya kitaifa ambao karibia serikali yote ya JMT imeshiriki kwa namna moja ama nyingine. Ni kielelezo cha mradi ulitekelezwa na serikali za marais wawili bila chenga zozote. Inaonyeaha kabisa kwamba kumbe tukivumilia, tunaweza.

Kumbe tukiangalia mbali tunaweza. Mradi huu utaleta athari nyingi chanya katika uchumi Kwa kuhakikisha umeme wa uhakika. Utaleta investment confidence, ujasiriamali, ajira na kodi kwa Serikali.

Changamoto iliyopo mbele yetu kama Taifa hasa vyombo vya ulinzi na usalama ni ulinzi wa mradi huu.
Vijana wa JJ Mkunda hasa wale chini Major General Mkeremy, tuwe macho katika mradi huu zaidi ya kawaida. Kwa sasa huu mradi ndio vital installation yetu pengine kuliko hata JNIA. Huu ni sambamba na Bandar ya DSM.

Vijana wa Balozi Siwa tuwe macho zaidi ya kawaida. Vijana wa Kamishina wetu wa PCCB, tuwe makini.
Serikali pia iwawezeshe vyombo hivi kwa rasilimali Fedha na watu ili iweze kuhakikisha usalama wa vital installation zote kwa ajili ya sasa na vizazi vijavyo.
 
Tatizo la hii miradi haina good maintanance, juzi nimepita wami, nakuta washaanza kuharibu zile CCTV camera zilizofungwa darajani. Yaani hadi unajiuliza, aliyefanya hivi ana akili kweli..?
Ndio maana hapo mwisho nimeshauri vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama kuwa makini na kuhakikisha usalama na uendelevu wa mradi huu.
 
Mimi nilijua nitapata taarifa za eneo gani wanapopata huo umeme bila kukatika, huo mradi hadi sasa unazalisha umeme kiasi gani, na maeneo gani yanayonufaika na huo mradi

hapo nimeona pongezi na vyeo vya watu
 
Kama ambavyo sisi hulalamika pale wanaotuhudumia wanapofanya vibaya, basi ni jambo jema la kiungwana kuwakumbuka na kuwapongeza wanapofanya vizuri.

Katika maisha yangu, sijawahi kushuhudia Tanzania ikiwa na umeme unaowaka mfululizo kama mwaka huu 2024 baada ya JHNPP kuanza uzalishaji. Kwangu ni kama ndoto.

Mungu amweke pema jemadari wetu JPM aliyeamua Ku take risk na hongera kwa wenzake wote waliomsaidia kufanikisha hili kama vile:

1. Rais wa sasa toka akiwa VP kwa JPM na hata baada ya kurithi alihakikisha inakamilika.
2. VP Philip Mpango kuanzia akiwa Waziri wake wa Fedha hadi sasa akiwa VP kwa SSH.
3. Aliyekuwa waziri wa nishati Dr. Medard Kalemani. Aliupiga mwingi.
5. NWM Dotto Biteko kwa kukamilisha kwa umakini wa hali ya juu.
6. Mhe. Mwigulu Nchemba
7. January Makamba
8. Makatibu Wakuu Kiongozi wa awamu zote mbili na makatibu wakuu wote
9 Mameneja wa miradi
10. Tanesco wote
11. TRA wote
12. Watanzania wote na wawekezaji kwa kulipa kodi.

Hakika huu mradi ni mradi wa sura ya kitaifa ambao karibia serikali yote ya JMT imeshiriki kwa namna moja ama nyingine. Ni kielelezo cha mradi ulitekelezwa na serikali za marais wawili bila chenga zozote. Inaonyeaha kabisa kwamba kumbe tukivumilia, tunaweza.

Kumbe tukiangalia mbali tunaweza. Mradi huu utaleta athari nyingi chanya katika uchumi Kwa kuhakikisha umeme wa uhakika. Utaleta investment confidence, ujasiriamali, ajira na kodi kwa Serikali.

Changamoto iliyopo mbele yetu kama Taifa hasa vyombo vya ulinzi na usalama ni ulinzi wa mradi huu.
Vijana wa JJ Mkunda hasa wale chini Major General Mkeremy, tuwe macho katika mradi huu zaidi ya kawaida. Kwa sasa huu mradi ndio vital installation yetu pengine kuliko hata JNIA. Huu ni sambamba na Bandar ya DSM.

Vijana wa Balozi Siwa tuwe macho zaidi ya kawaida. Vijana wa Kamishina wetu wa PCCB, tuwe makini.
Serikali pia iwawezeshe vyombo hivi kwa rasilimali Fedha na watu ili iweze kuhakikisha usalama wa vital installation zote kwa ajili ya sasa na vizazi vijavyo.
Ondoa hapo January Makamba ita make sense.
 
Kama ambavyo sisi hulalamika pale wanaotuhudumia wanapofanya vibaya, basi ni jambo jema la kiungwana kuwakumbuka na kuwapongeza wanapofanya vizuri.

Katika maisha yangu, sijawahi kushuhudia Tanzania ikiwa na umeme unaowaka mfululizo kama mwaka huu 2024 baada ya JHNPP kuanza uzalishaji. Kwangu ni kama ndoto.

Mungu amweke pema jemadari wetu JPM aliyeamua Ku take risk na hongera kwa wenzake wote waliomsaidia kufanikisha hili kama vile:

1. Rais wa sasa toka akiwa VP kwa JPM na hata baada ya kurithi alihakikisha inakamilika.
2. VP Philip Mpango kuanzia akiwa Waziri wake wa Fedha hadi sasa akiwa VP kwa SSH.
3. Aliyekuwa waziri wa nishati Dr. Medard Kalemani. Aliupiga mwingi.
5. NWM Dotto Biteko kwa kukamilisha kwa umakini wa hali ya juu.
6. Mhe. Mwigulu Nchemba
7. January Makamba
8. Makatibu Wakuu Kiongozi wa awamu zote mbili na makatibu wakuu wote
9 Mameneja wa miradi
10. Tanesco wote
11. TRA wote
12. Watanzania wote na wawekezaji kwa kulipa kodi.

Hakika huu mradi ni mradi wa sura ya kitaifa ambao karibia serikali yote ya JMT imeshiriki kwa namna moja ama nyingine. Ni kielelezo cha mradi ulitekelezwa na serikali za marais wawili bila chenga zozote. Inaonyeaha kabisa kwamba kumbe tukivumilia, tunaweza.

Kumbe tukiangalia mbali tunaweza. Mradi huu utaleta athari nyingi chanya katika uchumi Kwa kuhakikisha umeme wa uhakika. Utaleta investment confidence, ujasiriamali, ajira na kodi kwa Serikali.

Changamoto iliyopo mbele yetu kama Taifa hasa vyombo vya ulinzi na usalama ni ulinzi wa mradi huu.
Vijana wa JJ Mkunda hasa wale chini Major General Mkeremy, tuwe macho katika mradi huu zaidi ya kawaida. Kwa sasa huu mradi ndio vital installation yetu pengine kuliko hata JNIA. Huu ni sambamba na Bandar ya DSM.

Vijana wa Balozi Siwa tuwe macho zaidi ya kawaida. Vijana wa Kamishina wetu wa PCCB, tuwe makini.
Serikali pia iwawezeshe vyombo hivi kwa rasilimali Fedha na watu ili iweze kuhakikisha usalama wa vital installation zote kwa ajili ya sasa na vizazi vijavyo.
6 na 7 !
 
Tatizo la hii miradi haina good maintanance, juzi nimepita wami, nakuta washaanza kuharibu zile CCTV camera zilizofungwa darajani. Yaani hadi unajiuliza, aliyefanya hivi ana akili kweli..?
Unashangaa, reli tu raia wanachukua na kuuza kama vyuma chakavu. Wabongo kwneye suala la utunzaji ni hovyo, usipokuwa rigid mkali kwao wanakuharibia kila kitu
 
Kama ambavyo sisi hulalamika pale wanaotuhudumia wanapofanya vibaya, basi ni jambo jema la kiungwana kuwakumbuka na kuwapongeza wanapofanya vizuri.

Katika maisha yangu, sijawahi kushuhudia Tanzania ikiwa na umeme unaowaka mfululizo kama mwaka huu 2024 baada ya JHNPP kuanza uzalishaji. Kwangu ni kama ndoto.

Mungu amweke pema jemadari wetu JPM aliyeamua Ku take risk na hongera kwa wenzake wote waliomsaidia kufanikisha hili kama vile:

1. Rais wa sasa toka akiwa VP kwa JPM na hata baada ya kurithi alihakikisha inakamilika.
2. VP Philip Mpango kuanzia akiwa Waziri wake wa Fedha hadi sasa akiwa VP kwa SSH.
3. Aliyekuwa waziri wa nishati Dr. Medard Kalemani. Aliupiga mwingi.
5. NWM Dotto Biteko kwa kukamilisha kwa umakini wa hali ya juu.
6. Mhe. Mwigulu Nchemba
7. January Makamba
8. Makatibu Wakuu Kiongozi wa awamu zote mbili na makatibu wakuu wote
9 Mameneja wa miradi
10. Tanesco wote
11. TRA wote
12. Watanzania wote na wawekezaji kwa kulipa kodi.

Hakika huu mradi ni mradi wa sura ya kitaifa ambao karibia serikali yote ya JMT imeshiriki kwa namna moja ama nyingine. Ni kielelezo cha mradi ulitekelezwa na serikali za marais wawili bila chenga zozote. Inaonyeaha kabisa kwamba kumbe tukivumilia, tunaweza.

Kumbe tukiangalia mbali tunaweza. Mradi huu utaleta athari nyingi chanya katika uchumi Kwa kuhakikisha umeme wa uhakika. Utaleta investment confidence, ujasiriamali, ajira na kodi kwa Serikali.

Changamoto iliyopo mbele yetu kama Taifa hasa vyombo vya ulinzi na usalama ni ulinzi wa mradi huu.
Vijana wa JJ Mkunda hasa wale chini Major General Mkeremy, tuwe macho katika mradi huu zaidi ya kawaida. Kwa sasa huu mradi ndio vital installation yetu pengine kuliko hata JNIA. Huu ni sambamba na Bandar ya DSM.

Vijana wa Balozi Siwa tuwe macho zaidi ya kawaida. Vijana wa Kamishina wetu wa PCCB, tuwe makini.
Serikali pia iwawezeshe vyombo hivi kwa rasilimali Fedha na watu ili iweze kuhakikisha usalama wa vital installation zote kwa ajili ya sasa na vizazi vijavyo.
Teuzi zimeisha na hutopata kabisa. Muulize Mayalla.
Bei ya umeme huko kwenu Masaki mnalipa sh ngapi kwa unit 1 kwa sasa ukilinganisha na miaka ya nyuma?
 
Unashangaa, reli tu raia wanachukua na kuuza kama vyuma chakavu. Wabongo kwneye suala la utunzaji ni hovyo, usipokuwa rigid mkali kwao wanakuharibia kila kitu
Sidhani kama ni kweli hao unaowaona hawawezi kutunza eti ni kweli hawawezi bali na wao wanachukua kilicho ndani ya uwezo wao kulingana na urefu wa kamba yao.
 
Kama ambavyo sisi hulalamika pale wanaotuhudumia wanapofanya vibaya, basi ni jambo jema la kiungwana kuwakumbuka na kuwapongeza wanapofanya vizuri.

Katika maisha yangu, sijawahi kushuhudia Tanzania ikiwa na umeme unaowaka mfululizo kama mwaka huu 2024 baada ya JHNPP kuanza uzalishaji. Kwangu ni kama ndoto.

Mungu amweke pema jemadari wetu JPM aliyeamua Ku take risk na hongera kwa wenzake wote waliomsaidia kufanikisha hili kama vile:

1. Rais wa sasa toka akiwa VP kwa JPM na hata baada ya kurithi alihakikisha inakamilika.
2. VP Philip Mpango kuanzia akiwa Waziri wake wa Fedha hadi sasa akiwa VP kwa SSH.
3. Aliyekuwa waziri wa nishati Dr. Medard Kalemani. Aliupiga mwingi.
5. NWM Dotto Biteko kwa kukamilisha kwa umakini wa hali ya juu.
6. Mhe. Mwigulu Nchemba
7. January Makamba
8. Makatibu Wakuu Kiongozi wa awamu zote mbili na makatibu wakuu wote
9 Mameneja wa miradi
10. Tanesco wote
11. TRA wote
12. Watanzania wote na wawekezaji kwa kulipa kodi.

Hakika huu mradi ni mradi wa sura ya kitaifa ambao karibia serikali yote ya JMT imeshiriki kwa namna moja ama nyingine. Ni kielelezo cha mradi ulitekelezwa na serikali za marais wawili bila chenga zozote. Inaonyeaha kabisa kwamba kumbe tukivumilia, tunaweza.

Kumbe tukiangalia mbali tunaweza. Mradi huu utaleta athari nyingi chanya katika uchumi Kwa kuhakikisha umeme wa uhakika. Utaleta investment confidence, ujasiriamali, ajira na kodi kwa Serikali.

Changamoto iliyopo mbele yetu kama Taifa hasa vyombo vya ulinzi na usalama ni ulinzi wa mradi huu.
Vijana wa JJ Mkunda hasa wale chini Major General Mkeremy, tuwe macho katika mradi huu zaidi ya kawaida. Kwa sasa huu mradi ndio vital installation yetu pengine kuliko hata JNIA. Huu ni sambamba na Bandar ya DSM.

Vijana wa Balozi Siwa tuwe macho zaidi ya kawaida. Vijana wa Kamishina wetu wa PCCB, tuwe makini.
Serikali pia iwawezeshe vyombo hivi kwa rasilimali Fedha na watu ili iweze kuhakikisha usalama wa vital installation zote kwa ajili ya sasa na vizazi vijavyo.
Mkuu ushawachefua baadhi ya wagalatia wachache wsiotaka samia asifiwe kwa lolote lile, kiukweli hawapongezi kabisa Samia kumaliza mgao wa umeme kwa 100%
 
Hapo ni mmoja tu wa kupongezwa. Aliyechukuwa jukumu la kuujenga baada ya muda mrefu wa kusahaulika.
Hizo nyingine ni porojo tu.
Moja ya ujasiri mkubwa sana aliouchukuwa Magufuli; baada ya kuondoa ule ukichaa wake wa mambo yasiyofaa.
Jiwe kashajiozea hukoo, au anaendesha nchi akiwa huko? Acheni kutukuza wafu
 
Back
Top Bottom