Mradi wa JHNPP umeondoa mgawo wa Umeme

Anayestahili credit ni Magufuli kwa uthubutu wake.

Mradi huu ulipigwa vita na Muhongo, Zitto na wapinzani wengine na makuwadi wengine waliofisadi gesi
 
Kiangazi kinakuja, andaa andiko la utetezi. Nimekaa pale!
Catchment Area ya Bwawa la Nyerere ni kubwa. Ukame wa kusababisha usumbufu kwa Bwawa la Nyerere sio wa kitoto. Huo ukame utakuwa janga la kidunia.
 
Ngoja nyumbu waje kupinga
Kwa hili Bwawa kila mtu aliyekuwa akilipinga amenywea. Kulipotokea mafuriko walianza kujitokeza kidogo kidogo lakini wamenywea tena. Waliambiwa pia mafuriko haya kusababishwa na Bwawa hilo.
 
Reactions: Tui
You will be amaized, tembea hii nchi. Kama kuna watu wa kwanza kuharibu miundombinu ni wabongo wenyewe, suala lanutunzaji bongo ni zito
Labda kama huwezi kuelewa maana ya urefu wa kamba na ndio maana unatupa lawama kwa hao waiba vyuma chakavu tu ila WALIOKO WIZARA ZA FEDHA,UCHUKUZI,MAMBO YA NJE,MALI ASILI,MADINI,NISHATI NA PALE JUU KABISA HUONI WAKIFANYACHO AMA KWAKO WAYAFANYAYO KWAKO NI BARAKA TELE.

ILI TUWE WAADILIFU BASI IWE NI KWETU SOTE.
ISIWE NI KWA WALE TUNAOAMBIWA TUHAMIE BURUNDI TU.
 
Muda huu nilipo hakuna umeme
 
Tatizo la hii miradi haina good maintanance, juzi nimepita wami, nakuta washaanza kuharibu zile CCTV camera zilizofungwa darajani. Yaani hadi unajiuliza, aliyefanya hivi ana akili kweli..?
tatizo linaanzia hapa!sisi watanzania hatuezi kutunza na kulinda vitu vyetu!utakuta wanaofanya hvo ni wananchi kabisa!wanaiba wanaenda kuuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…