Mradi wa kiuchumi mnaufanya mjadala wa kidini. Hamna maana kabisa

Mradi wa kiuchumi mnaufanya mjadala wa kidini. Hamna maana kabisa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Haijapata kutokea katika historia ya nchi yetu masuala ya kiuchumi kugeuzwa mjadala wa kidini.

Kuliwahi kuwepo na miradi ya kifisadi iliyodumu na kuleta athari mbaya kwa nchi wakati wa maraisi walipita yote ilijadiliwa kwa ufisadi wake na yote yaliyofuata yalikuwa malalamiko ya kawaida tu.Huu mkataba wa bandari upo hatua za awali tu na haujaanza hata kutekelezwa lakini imekuwa ni baa.

Sisi watu wa saikolojia tumeona hawa wanaaotaka kuleta machafuko ya kidini na kuahidi kutumia makanisa yao kila Jumapili kufanya uchochezi wana kitu kilikuwa moyoni mwao kwa muda mrefu sasa wanaona wamepata pa kupitia.
Hii ahadi za uchochezi wafanye wao tu.Ingekuwa ni waislamu tungekwishasikia maneno kama ugaidi na wengi wao bila kujali hadhi zao wangekwisha shikwa na kuwekwa ndani.

Kumbuka baadhi ya masheikh waliokuwa na vyeo kama vya hao mapadre yaliyowapata na walidhaniwa tu sio hawa wanaoahidi kabisa kufanya uasi.

Eti "sisi hatubahatishi" tupo mpaka vigangoni.Matamko ya aibu kabisa hayo kwa kiongozi wa kidini.
 
Haijapata kutokea katika historia ya nchi yetu masuala ya kiuchumi kugeuzwa mjadala wa kidini.
Kuliwahi kuwepo na miradi ya kifisadi iliyodumu na kuleta athari mbaya kwa nchi wakati wa maraisi walipita yote ilijadiliwa kwa ufisadi wake na yote yaliyofuata yalikuwa malalamiko ya kawaida tu.Huu mkataba wa bandari upo hatua za awali tu na haujaanza hata kutekelezwa lakini imekuwa ni baa.
Sisi watu wa saikolojia tumeona hawa wanaaotaka kuleta machafuko ya kidini na kuahidi kutumia makanisa yao kila Jumapili kufanya uchochezi wana kitu kilikuwa moyoni mwao kwa muda mrefu sasa wanaona wamepata pa kupitia.
Hii ahadi za uchochezi wafanye wao tu.Ingekuwa ni waislamu tungekwishasikia maneno kama ugaidi na wengi wao bila kujali hadhi zao wangekwisha shikwa na kuwekwa ndani.
Kumbuka baadhi ya masheikh waliokuwa na vyeo kama vya hao mapadre yaliyowapata na walidhaniwa tu sio hawa wanaoahidi kabisa kufanya uasi.
Eti "sisi hatubahatishi" tupo mpaka vigangoni.Matamko ya aibu kabisa hayo kwa kiongozi wa kidini.
Kama ni mzuri si akaupeleke Kwa ndugu zake wazanzibar, huko ndiko yatakuwa malalo yake, na ukoo na familia wako huko kwanini ang'anganie bandari ya watanganyika
 
Sisi watu wa saikolojia tumeona hawa wanaaotaka kuleta machafuko ya kidini na kuahidi kutumia makanisa yao kila Jumapili kufanya uchochezi wana kitu kilikuwa moyoni mwao kwa muda mrefu sasa wanaona wamepata pa kupitia.
Wewe sio mwanasaikolojia na usiseme 'sisi' maana haujaja na kikundi umekuja wewe km wewe futa hio taaluma ya watu hapo utakua unawaabisha wanasaikolojia wote Duniani

Wewe sio mwanasaikolojia wewe ni mchimbachumvi tu uliekosa kazi ya kufanya ukaamua uandike mashudu bila kuweka aya kwenye andiko refu lisilokua na maana
 
Kama ni mzuri si akaupeleke Kwa ndugu zake wazanzibar, huko ndiko yatakuwa malalo yake, na ukoo na familia wako huko kwanini ang'anganie bandari ya watanganyika
Acha maneno ya kijinga wewe na uchochezi.Kwani yeye ni raia wa nchi gani. Bunge kama limeona ni mradi mzuri limeupeleka pale panapohusika na ni bandari itakayohudumia eneo kubwa la kusini ya Afrika na kukuza uchumi.Kama raisi ameridhia ushauri wa kiuchumi ni kumsifia sana kukubali kuuwacha pale unapopasa kuwa. Sio mbinafsi kam aliyetangulia kupeleka mradi usipofaa.
 
Wewe sio mwanasaikolojia na usiseme 'sisi' maana haujaja na kikundi umekuja wewe km wewe futa hio taaluma ya watu hapo utakua unawaabisha wanasaikolojia wote Duniani

Wewe sio mwanasaikolojia wewe ni mchimbachumvi tu uliekosa kazi ya kufanya ukaamua uandike mashudu bila kuweka aya kwenye andiko refu lisilokua na maana
Kama Zanzibar ni sehemu ya muungano kwanini hiyo fursa haipeleki huko? Wakati meli za uvuvi wazanzibar nao walipewa iweje hili la bandari mkataba wenye utata alazimishe Kwa Tanganyika tu
 
Kama Zanzibar ni sehemu ya muungano kwanini hiyo fursa haipeleki huko? Wakati meli za uvuvi wazanzibar nao walipewa iweje hili la bandari mkataba wenye utata alazimishe Kwa Tanganyika tu
Kikatiba tumesema hakuna Tanganyika.Kama raisi ni wa Tanzania atakuwa ni raisi asiyemuadilifu apeleke mradi mkubwa wa bandari pasipostahiki.Na atakuwa ni mbaya pia asipofanya mradi mwengine unafanyika Zanzibar.
Bwawa la Nyerer haliwezi kuchimbwa Dar es salaam.Wajenzi ni waarabu wa Misri walioingia mkataba wakati wa Magufuli.
Pamoja na matatizo yake mengine Magufuli hakuwa na ujinga kama wa kwenu kwenye mambo muhimu.
 
Kikatiba tumesema hakuna Tanganyika.Kama raisi ni wa Tanzania atakuwa ni raisi asiyemuadilifu apeleke mradi mkubwa wa bandari 'pasipostahiki'.Na atakuwa ni mbaya pia asipofanya mradi mwengine unafanyika Zanzibar.
Ona unavyotema mashudu
 
Hili swali ngoja nikuitie huyu alijibu Steven Joel Ntamusano njoo ujibu hili swali
Zanzibar kuna uwekezaji ulifanyika mwaka jana mwanzoni bandari inaitwa mpigaduru ilipata mwekezaji.

Pia DPW anafanya end to end logistics kwa maana ya kuwa mmiliki wa mzigo uliopo DRC na Congo na analo soko huko ughaibuni, anachukua mzigo huo na kuuleta bandarini kwa njia ya SGR unapanda meli na kwenda huko nje na ushushaji pia ni jukumu lake. Hiyo ni maana pana ya bandari kisasa na wengi wetu hatuijui wala kuielewa na kibaya zaidi hatupendi kuielewa.

Mwekezaji hawezi kuhangaika na Zanzibar kwani huko hana mzigo wake anaotaka kuusafirisha kuupeleka huko ughaibuni, hiyo end to end logistics concept haiwezi kufanyika kuanzia bandari za Zanzibar.

Wanasema uongo hupanda lift na hufika mapema zaidi lakini ukweli unaokuja kwa ngazi unachelewa kufika.
 
Zanzibar kuna uwekezaji ulifanyika mwaka jana mwanzoni bandari inaitwa mpigaduru ilipata mwekezaji.

Pia DPW anafanya end to end logistics kwa maana ya kuwa mmiliki wa mzigo uliopo DRC na Congo na analo soko huko ughaibuni, anachukua mzigo huo na kuuleta bandarini kwa njia ya SGR unapanda meli na kwenda huko nje na ushushaji pia ni jukumu lake. Hiyo ni maana pana ya bandari kisasa na wengi wetu hatuijui wala kuielewa na kibaya zaidi hatupendi kuielewa.

Mwekezaji hawezi kuhangaika na Zanzibar kwani huko hana mzigo wake anaotaka kuusafirisha kuupeleka huko ughaibuni, hiyo end to end logistics concept haiwezi kufanyika kuanzia bandari za Zanzibar.

Wanasema uongo hupanda lift na hufika mapema zaidi lakini ukweli unaokuja kwa ngazi unachelewa kufika.
Sawa umeeleza vizuri sana tena kisoma sana Sasa twende kwenye pointi ya msingi watafanya hivyo kwa mda gani milele?
 
Sawa umeeleza vizuri sana tena kisoma sana Sasa twende kwenye pointi ya msingi watafanya hivyo kwa mda gani milele?
IGA iliyopitishwa bungeni ndio imepotoshwa mno na watu wenye maslahi yao binafsi.

HGAs kwa maana ya mikataba ya kibiashara ina ukomo kutegemea na aina ya biashara inayokwenda kufanyika.

Kama ni biashara ya cranes za mizigo inao ukomo wake, kama ni biashara za kuongeza ujuzi wa wasomi wetu wa masuala ya shipping pia upo ukomo wake.

Na ukomo wa biashara halisi zinazozaliwa na IGA ndio kifo cha mkataba wenyewe uliosainiwa kule bungeni. Upotoshaji ni mwingi mno na jamii zetu za kiafrika zina maarifa madogo sana.
 
IGA iliyopitishwa bungeni ndio imepotoshwa mno na watu wenye maslahi yao binafsi.

HGAs kwa maana ya mikataba ya kibiashara ina ukomo kutegemea na aina ya biashara inayokwenda kufanyika.

Kama ni biashara ya cranes za mizigo inao ukomo wake, kama ni biashara za kuongeza ujuzi wa wasomi wetu wa masuala ya shipping pia upo ukomo wake.

Na ukomo wa biashara halisi zinazozaliwa na IGA ndio kifo cha mkataba wenyewe uliosainiwa kule bungeni. Upotoshaji ni mwingi mno na jamii zetu za kiafrika zina maarifa madogo sana.
Brother mwanzo uliongea kisomi sasa hapa unaanza kupuyanga nimekuuliza kwa muda gani?

Jibu kisomi km ulivyojibu mwanzo, onyesha wameeleza itaendeshwa kwa muda fulani hadi muda fulani sio unajizungusha sana
 
Brother mwanzo uliongea kisomi sasa hapa unaanza kupuyanga nimekuuliza kwa muda gani?

Jibu kisomi km ulivyojibu mwanzo, onyesha wameeleza itaendeshwa kwa muda fulani hadi muda fulani sio unajizungusha sana
Muda ambao hiyo mikataba ya kibiashara itakubaliana nayo. Ndio maana nimekwambia kwamba IGA iliyoingia bungeni ni tofauti kabisa na hii mikataba itakayoongoza biashara nzima.
 
Wamesoma waraka hadi misa za Watoto [emoji16][emoji23][emoji1787]
 
Ishu ya huu mkataba na madudu yake haikuanza leo. Kwa sasa mjitahidi tu kuwa wapole. Aidha mrekebishe hizo kasoro zake, au matamko yaendelee kutolewa.
 
Zanzibar kuna uwekezaji ulifanyika mwaka jana mwanzoni bandari inaitwa mpigaduru ilipata mwekezaji.

Pia DPW anafanya end to end logistics kwa maana ya kuwa mmiliki wa mzigo uliopo DRC na Congo na analo soko huko ughaibuni, anachukua mzigo huo na kuuleta bandarini kwa njia ya SGR unapanda meli na kwenda huko nje na ushushaji pia ni jukumu lake. Hiyo ni maana pana ya bandari kisasa na wengi wetu hatuijui wala kuielewa na kibaya zaidi hatupendi kuielewa.

Mwekezaji hawezi kuhangaika na Zanzibar kwani huko hana mzigo wake anaotaka kuusafirisha kuupeleka huko ughaibuni, hiyo end to end logistics concept haiwezi kufanyika kuanzia bandari za Zanzibar.

Wanasema uongo hupanda lift na hufika mapema zaidi lakini ukweli unaokuja kwa ngazi unachelewa kufika.
Ahsante umewajibu vizuri akina Mbowe na Lisu.
 
Back
Top Bottom