Yeye ni raia wa Zanzibar Kwanza na alitamka Kwa kinywa chake.Acha maneno ya kijinga wewe na uchochezi.Kwani yeye ni raia wa nchi gani. Bunge kama limeona ni mradi mzuri limeupeleka pale panapohusika na ni bandari itakayohudumia eneo kubwa la kusini ya Afrika na kukuza uchumi.Kama raisi ameridhia ushauri wa kiuchumi ni kumsifia sana kukubali kuuwacha pale unapopasa kuwa. Sio mbinafsi kam aliyetangulia kupeleka mradi usipofaa.
Ndo maana unaambiwa hujui unachojibu. Mkataba unaongelea bandari za bahari, maziwa na nchi kavu upande wa Tanganyika. Kama ni mzuri Kwa nini iwemo bandari ya Kibirizi ya Nungwi isiwemo?Mashudu yapo wapi au hujaelewa hoja.
Bandari ya kuhudumia Malawi na Kongo ikajengwe Zanzibar si itakuwa ni ukichaa huo.
Kama ni hivi Kwa nini mkataba unahusisha bandari ya Kyela? Au hujui ni all ports (Ocean, Lakes & land)?Zanzibar kuna uwekezaji ulifanyika mwaka jana mwanzoni bandari inaitwa mpigaduru ilipata mwekezaji.
Pia DPW anafanya end to end logistics kwa maana ya kuwa mmiliki wa mzigo uliopo DRC na Congo na analo soko huko ughaibuni, anachukua mzigo huo na kuuleta bandarini kwa njia ya SGR unapanda meli na kwenda huko nje na ushushaji pia ni jukumu lake. Hiyo ni maana pana ya bandari kisasa na wengi wetu hatuijui wala kuielewa na kibaya zaidi hatupendi kuielewa.
Mwekezaji hawezi kuhangaika na Zanzibar kwani huko hana mzigo wake anaotaka kuusafirisha kuupeleka huko ughaibuni, hiyo end to end logistics concept haiwezi kufanyika kuanzia bandari za Zanzibar.
Wanasema uongo hupanda lift na hufika mapema zaidi lakini ukweli unaokuja kwa ngazi unachelewa kufika.
BungeAcha maneno ya kijinga wewe na uchochezi.Kwani yeye ni raia wa nchi gani. Bunge kama limeona ni mradi mzuri limeupeleka pale panapohusika na ni bandari itakayohudumia eneo kubwa la kusini ya Afrika na kukuza uchumi.Kama raisi ameridhia ushauri wa kiuchumi ni kumsifia sana kukubali kuuwacha pale unapopasa kuwa. Sio mbinafsi kam aliyetangulia kupeleka mradi usipofaa.
Ndio maana narudia tena uelewa wetu ni mdogo halafu tunajipa kazi ngumu ya kuuchambua mkataba husika.Kama ni hivi Kwa nini mkataba unahusisha bandari ya Kyela? Au hujui ni all ports (Ocean, Lakes & land)?
Nataka nikwambie huu ujanja wa IGA Kufa kutokana na kifo cha HGA ndo uhuni wenyewe unaopigiwa kelele.IGA iliyopitishwa bungeni ndio imepotoshwa mno na watu wenye maslahi yao binafsi.
HGAs kwa maana ya mikataba ya kibiashara ina ukomo kutegemea na aina ya biashara inayokwenda kufanyika.
Kama ni biashara ya cranes za mizigo inao ukomo wake, kama ni biashara za kuongeza ujuzi wa wasomi wetu wa masuala ya shipping pia upo ukomo wake.
Na ukomo wa biashara halisi zinazozaliwa na IGA ndio kifo cha mkataba wenyewe uliosainiwa kule bungeni. Upotoshaji ni mwingi mno na jamii zetu za kiafrika zina maarifa madogo sana.
Haya tueleze mkataba wa bwawa unasemaje Chief.Kikatiba tumesema hakuna Tanganyika.Kama raisi ni wa Tanzania atakuwa ni raisi asiyemuadilifu apeleke mradi mkubwa wa bandari pasipostahiki.Na atakuwa ni mbaya pia asipofanya mradi mwengine unafanyika Zanzibar.
Bwawa la Nyerer haliwezi kuchimbwa Dar es salaam.Wajenzi ni waarabu wa Misri walioingia mkataba wakati wa Magufuli.
Pamoja na matatizo yake mengine Magufuli hakuwa na ujinga kama wa kwenu kwenye mambo muhimu.
Wewe unakubali kurudi kuwa mtumwa wa mwarabu?Haijapata kutokea katika historia ya nchi yetu masuala ya kiuchumi kugeuzwa mjadala wa kidini.
Kuliwahi kuwepo na miradi ya kifisadi iliyodumu na kuleta athari mbaya kwa nchi wakati wa maraisi walipita yote ilijadiliwa kwa ufisadi wake na yote yaliyofuata yalikuwa malalamiko ya kawaida tu.Huu mkataba wa bandari upo hatua za awali tu na haujaanza hata kutekelezwa lakini imekuwa ni baa.
Sisi watu wa saikolojia tumeona hawa wanaaotaka kuleta machafuko ya kidini na kuahidi kutumia makanisa yao kila Jumapili kufanya uchochezi wana kitu kilikuwa moyoni mwao kwa muda mrefu sasa wanaona wamepata pa kupitia.
Hii ahadi za uchochezi wafanye wao tu.Ingekuwa ni waislamu tungekwishasikia maneno kama ugaidi na wengi wao bila kujali hadhi zao wangekwisha shikwa na kuwekwa ndani.
Kumbuka baadhi ya masheikh waliokuwa na vyeo kama vya hao mapadre yaliyowapata na walidhaniwa tu sio hawa wanaoahidi kabisa kufanya uasi.
Eti "sisi hatubahatishi" tupo mpaka vigangoni.Matamko ya aibu kabisa hayo kwa kiongozi wa kidini.
Umeleta ujuaji mwingi. Umeandika mengi ambayo hayana uhusiano na mradi wa bandari. Na tukumbuke kuwa mwaka huu huu anakuja mwekezaji mwingine wa kuendesha sehemu ya bandari iliyobakia, na yeye atapingwa kwa kutumia nguvu hii hii iliyotumika kumpinga DPW?.Nataka nikwambie huu ujanja wa IGA Kufa kutokana na kifo cha HGA ndo uhuni wenyewe unaopigiwa kelele.
Uhuni kama huu uliwahi kufanyika nchini kwenye ubinafisishaji wa Mashirika ya Umma. Mtu anachukua Dodoma Hotel Kwa mkataba wa miaka 10 anapewa grace period ya kulipa Kodi miaka 5 ikifika 4 anawithdraw akidai Biashara hailipi anajibadili jina na Menejimenti mpya ya uongo na kweli anapepewa grace period kama Mwekezaji mpya kumbe ni wale wale.
Ukomo wa IGA kuamriwa na HGA ni uhuni unaobarikiwa na waliolambishwa asali. Anajngia HGA 2 miaka 25 Kila moja, ikifika miaka 20 anaingia HGA ya kitu kingine ya miaka 30 nayo mtasubiri iishe ndo IGA Ife. Wenye akili wameuona ujanja huu kama walivyoona kwenye gesi ya Mtwara na mlivyokomaza mafuvu Leo mmeinamisha vichwa kama hampo.
Kwanza, kabisa nikupe taarifa kuwa wewe ni zero brain, issue sio dini issue ni mkataba mbovu ambaye bibi mvaa kiremba kashupaza shingo baada ya kuambiwa na waungwana na wana taaluma utumbo alioufanya, yeye akajibu kwa kutuma kina mwijaku na kitenge kujibu hoja za msingi za wanasheria nguli( shame on her)Haijapata kutokea katika historia ya nchi yetu masuala ya kiuchumi kugeuzwa mjadala wa kidini.
Kuliwahi kuwepo na miradi ya kifisadi iliyodumu na kuleta athari mbaya kwa nchi wakati wa maraisi walipita yote ilijadiliwa kwa ufisadi wake na yote yaliyofuata yalikuwa malalamiko ya kawaida tu.Huu mkataba wa bandari upo hatua za awali tu na haujaanza hata kutekelezwa lakini imekuwa ni baa.
Sisi watu wa saikolojia tumeona hawa wanaaotaka kuleta machafuko ya kidini na kuahidi kutumia makanisa yao kila Jumapili kufanya uchochezi wana kitu kilikuwa moyoni mwao kwa muda mrefu sasa wanaona wamepata pa kupitia.
Hii ahadi za uchochezi wafanye wao tu.Ingekuwa ni waislamu tungekwishasikia maneno kama ugaidi na wengi wao bila kujali hadhi zao wangekwisha shikwa na kuwekwa ndani.
Kumbuka baadhi ya masheikh waliokuwa na vyeo kama vya hao mapadre yaliyowapata na walidhaniwa tu sio hawa wanaoahidi kabisa kufanya uasi.
Eti "sisi hatubahatishi" tupo mpaka vigangoni.Matamko ya aibu kabisa hayo kwa kiongozi wa kidini.
Emptyless,Muda ambao hiyo mikataba ya kibiashara itakubaliana nayo. Ndio maana nimekwambia kwamba IGA iliyoingia bungeni ni tofauti kabisa na hii mikataba itakayoongoza biashara nzima.
Njoo na hoja za kwako zenye mashiko kuliko kuishia kukosoa tu.Emptyless,
hakuna kitu unajua,umekalilishwa ...
piga kimya .
Huyo Rais SSH anao washauri wenye utaalamu wa mikataba na uchumi kuliko wewe unavyodhania.Kwanza, kabisa nikupe taarifa kuwa wewe ni zero brain, issue sio dini issue ni mkataba mbovu ambaye bibi mvaa kiremba kashupaza shingo baada ya kuambiwa na waungwana na wana taaluma utumbo alioufanya, yeye akajibu kwa kutuma kina mwijaku na kitenge kujibu hoja za msingi za wanasheria nguli( shame on her)
Pili, hakuna shekhe mwenye elimu kama ma Askofu narudia tena hakuna na wanachofanya wao ni wametoa msimamo wao kwa waumini wao na taifa kwa ujumla hasa kwa wale wazalendo.
Tatu na muhimu, Tanzania ya sasa siyo ya 1970! Watu wanaelimu tena wengi na wanajitambua sana, Serikali na wewe mleta mada inapaswa mjue kuwa mwenye maamuzi ya mwisho ni mwananchi na sio bibi mvaa kilemba na Ccm.
Nne, serikali imekosea na watanganyika wote wazalendo na wenye akili tumekataa usanii wa ccm.
Idiot!
Kwa akili hiziii, bado ukombozi wa kifikra unahitajikaHuyo Rais SSH anao washauri wenye utaalamu wa mikataba na uchumi kuliko wewe unavyodhania.
Ukumbuke anayeikwamisha hii nchi isifike mbali ni huu ujuaji wa kila mtu kutaka kuongelea kila kitu hata ambacho hakijui.
Wanaoandaa hiyo mikataba haswa huu wa DPW ni watu waliosomea miaka na miaka vyuoni kuhusu maswala haya haya na ni katika nchi ya wapumbavu iitwayo Tanzania ndio mchango wao unashindwa kuonekana.