Mradi wa Ksh 65 billion wa Mombasa Road umeanza kutekelezwa rasmi

Mradi wa Ksh 65 billion wa Mombasa Road umeanza kutekelezwa rasmi

Huu mradi ni noma sana,Ubungo interchange ni ya kutupwa kwenye slum eeeh
Raha hapa ndani
 
Nalishangaa jinsi limbukeni ndugu kutoka Tz mlivyoshangilia eti Tazara fly over,iweje muwe mbumbumbu kwa flyover jamani,je mu akili punguani au vipi?Ama ni enzi za kinjekitile mlizomo?
 
Nalishangaa jinsi limbukeni ndugu kutoka Tz mlivyoshangilia eti Tazara fly over,iweje muwe mbumbumbu kwa flyover jamani,je mu akili punguani au vipi?Ama ni enzi za kinjekitile mlizomo?
hauishi dsm uaiona kwenye taarifa za habari tu,wanaojua usumbufu wa hapo,lazima walishangilia.
 
Number of customers ni 2.7 million, out of 55 million plus., maybe we average 7 people per household., less than 60% of population can afford electricity, the rest ni kukula saa kumi mchana na kulala saa kumi na mbili jioni, poverty ni mbaya, LDC on steroids. Puting wires across the country na raiya hawawezi afford ku connect[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
Kuna highrise buildings ambazo zina apartments hata 20 kwa mjengo mmoja ....Vijiji elfu 9+ Ni vingi japo sio kila mtz anauwezo wa kuvuta umeme katika kila kijiji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In those apartments kila nyumba ina meter yake, ama kila tenant anajilipia umeme, the count of those who pay bills ndio inakuja 2.7 million., Africa nchi nyingi ziko bado sana, Tanzania included amongst the worst., hapa musipinge, hatufanani, ijapokua we are not yet there.
Kuna highrise buildings ambazo zina apartments hata 20 kwa mjengo mmoja ....Vijiji elfu 9+ Ni vingi japo sio kila mtz anauwezo wa kuvuta umeme katika kila kijiji

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In those apartments kila nyumba ina metre yake, ama kila tenant ananilipia umeme, the count of those who pay bills ndio inakuja 2.7 million., Africa nchi nyingi sana badoo Tanzania included amongst the worst., hapa musipinge, hatufanani, ijapokua we are not yet there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naelewa, Bidii ndio itatutoa shimoni sio Hadithi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narrow minded argument, get exposure, pia ukienda DRC, Uganda na Rwanda ukifanya biashara u are likeky to make it, Tz sio special, imechelewa kidogo, stop having this thinking that 'is your mother only who knows how to cook'., fanya utafiti, you are too localized, from your arguments, uko na mtazamo finyu.
Dah una akili za kimaskini mno jomba, ingekuwa hvyo basi meli zcngekuwepo, ndege za local zcngekuwepo, yangeachwa mabasi tu yasafirishe watu, btw ucfananishe Kenya na Tz, huku watu wana pesa na hakuna biashara utafanya upate hasara Tz unless hauko serious.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narrow minded argument, get exposure, pia ukienda DRC, Uganda na Rwanda ukifanya biashara u are likeky to make it, Tz sio special, imechelewa kidogo, stop having this thinking that 'is your mother only who knows how to cook'., fanya utafiti, you are too localized, from your arguments, uko na mtazamo finyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hzo nchi ulizozitaja zote, Tz ndo baba lao, yn unataka kufananisha mazingira ya biashara ya Tz na hzo nchi mbn unaota asbh asbh hv.
 
Nothing new kaka, ndio umeona jua, endelea kuota, sisi tuliota hadi tumechoka., what do u want to compare Tz with?., weka list hapa., na usiseme SA or Egypt, some of their 'estates' economy is equal ypur whole country., wewe unataka kuiweka wapi Tz?., maybe akina Ghana hivi.,
Hzo nchi ulizozitaja zote, Tz ndo baba lao, yn unataka kufananisha mazingira ya biashara ya Tz na hzo nchi mbn unaota asbh asbh hv.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I like your argument, so reasonable, imeenda shule. Anyway it is a good foundation kwa vizazi zijazo, their economy will be accelerated, hawataumia kama watu wa sasa, if dunia kutakua na amani, na haya janga kama corona hayatasumbua.,

Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks, Kwa sasa kweli ni kama tunaanza...itachukua muda kukamilisha mambo mengi ambayo ni ya muhimu sana ...Kizaz cha sasa lazima kiwajibike ipasavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini lakini Nini ati miezi ijayo ama miaka ijayo?? Can you be serious for once angalia reality wacha propaganda.
Nilikuwa najiuliza kwanini wasichana wa Kenya wakivua nguo sehemu za siri za mapajani zinakuwa nyeusi kama zimebabuka kumbe ni kutokujisafisha kwa maji ,huwa amjitawazi na maji hivyo kinyesi kina sababisha joto na mvundo unao unguza mapaja
 
Nilikuwa najiuliza kwanini wasichana wa Kenya wakivua nguo sehemu za siri za mapajani zinakuwa nyeusi kama zimebabuka kumbe ni kutokujisafisha kwa maji ,huwa amjitawazi na maji hivyo kinyesi kina sababisha joto na mvundo unao unguza mapaja
Kamwambie Diamond 😉
 
Back
Top Bottom