Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Natanguriza samahani kwa wale wasiopenda/kutumia kitimoto, WanaJF mimi nataka kuanza mradi wa kufuga kitimoto angalau minimum start wawe 30, ni vitu gani winaitajika tofauti na mtaji mana ninao tayari, Naomba mawazo yenu