Mradi wa Kuku wa Kienyeji

wale vifaranga wa kienyeji waouzwa pale tazara ambao wanasema ni chotara,je wanauwezo wa kuatamia mayai? pia mimi ninao kuchi wana miezi kama miwili na nusu nilikua naomba kujua ukuaji wao upoje na soko lao

Ukuaji wa vifaranga vya kuchi au hao chotara wa Tazara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…