Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

Mradi wa mabasi yaendayo kasi (BRT) na Dar es Salaam Rapid Transit (DART)

usijali, mradi huu ulianza kuongelewa zaidi ya miaka kumi iliyopita, sasa ujenzi umeanza na world bank washatoa hela, ukiangalia kivukoni kazi imeshaanza, tusubiri kwani pia kuna wamiliki daladala ambao wanaona mradi huu utaua biashara yao, viongzi wetu wametufanyia mambo mpka hatuamini wanachokisema, teh teh, nami nasema nasubiri kuona mabasi hayao yanaanza kufanya kazi.

hili ndio tatizo letu sisi, na unaweza kukuta wasimamizi wakuu wa huu mradi ndio wamiliki wa madala dala pia
 
ni kweli, wanachotakiwa kufanya ni kupeleka daladala zao maeneo mengine, wanunue mabasi standard yanayotakiwa, waendeleze biashara kama kawa, tatizo hawatingishi vichwa, wamekaakaa tuu, ni aibu kwa lijizi na lifisadi kuiba kote hivyo halafu linakua halina tofauti na walalah=oi wengine, kazi kuneemesha mabenki ya nchi za watu, wanadhani ujaja kumbe kule yanaonekana mabwege, wangekua wanafanya ufisadi huu kwa kuanzisha biashara za kijamii kama usafiri mzuri na salama, au hata kujenga barabara na kuweka mageti ya ushuru shwari tuu, ila walivyo mambumbumbu, wanasababisha watu wetu kufa kila siku, barabara gani kama nyoka, ni mitego ya vifo mitupu, naomba mungu awalaani awa mafisadi na wezi wa nchi hii, pia madereva wetu pia naomba muwe makini maana utafikiri mmelogwa pia, yaani ajali mfululizo, utafikiri ndio imekua salamu kila siku, lingine, kuna viongzi wengine wa ngazi za juu utamsikia analalamika kama raia wa kawaida, duh, sasa kama sisi ndio tunalitegemea lenyewe halafu ndio lipo hivi si tumekwisha? hivi viongzi wetu tunawapataje? hadi tunajuta nakwambia
 
Barabara za bongo zina eneo kubwa katikakti, mfano kilwa raod, sam nujoma road pia haya mabasi hayahitaji barabara kubwa sana,
angalia mfano wa kituo cha mabasi yaendayo kasi,
mifano hii si ya DART, source skyscrappercity forum
kinrapid12.jpg

kinrapid4.jpg

kinrapid8.jpg

kumbe tuna design nzuri tu za mipango miji? sasa kwa nini hazifanyiwi kazi? zimewekwa kapuni,tunalala sana
 
hamna lolote...wasanii wanaonyesha sanaa tu
inategemeana, siku nyingine tujitahidi kuwasifia wanapofanya kitu kizuri, tukilalamika siku zote wanaweza sema hii mijitu ukifanya usipofanya sawa , bora tusifanye, kwa hili wanadeserve pongezi, tusiwe wachoyo, na tusubiri wamalizie kama walivyoahidi
 
Siamini, mpaka niyaone hayo mabasi barabarani....
 
nikweli kabisa... wa bongo wengi wanafikiri ni mabasi yatakuwa yanaondoka speed balaaa.. but haya mabasi yakuwa na vituo vyake maalum kabla ya kufika kituo cha mwisho.. na vile vituo vyake ni rahisi sana mtu kuruka ule uzio .. sasa sijui ustaarabu huu bongo tutauweza au watazidisha uzio. vituo vipo kama hii picha ya chini

BRT+Station+at+Hangzhou+(interior)+China.jpg
 
nikweli kabisa... wa bongo wengi wanafikiri ni mabasi yatakuwa yanaondoka speed balaaa.. but haya mabasi yakuwa na vituo vyake maalum kabla ya kufika kituo cha mwisho.. na vile vituo vyake ni rahisi sana mtu kuruka ule uzio .. sasa sijui ustaarabu huu bongo tutauweza au watazidisha uzio. vituo vipo kama hii picha ya chini

BRT+Station+at+Hangzhou+(interior)+China.jpg

wabongo pia hawajazoea kudumbukiza nauli wenyewe, kama watatakiwa kudumbikiza nauli na hamna konda basi wameuwawa, maana hata huku watu walioendelea huwa wanadumbukiza vitu vya ajabu ajabu, kuna coin flani hivi zinatumika kuchezea magemu, ni kama hela basi unakuta mtu anazo hizo, kila siku anapanda basi anadumbukiza tuu, ila siku hizi wameumbuka maana kama unadumbukiza coin kina kashimo chake, kama sio hela haiingii, ni kudhalilika patupu, teh teh, nadhani wataweka madaraja kama vile lile la manzese, daraja hilo litakuongeza mpaka kwenye kituo, ukishuka unapanda daraja kuvuka barabara itakua salama, ila wakiweka uzio itakua fujo tupu, wabongo wataruka tuu, na kwa nauli itabidi wawe wanatumia kadi, unaweka hela ya mwezi mzima, hapa nilipo unaweza kulipa kila siku ukipanda au ukiona shida kial siku kutembea na vichenji basi unanunua kadi ya mwezi mzima, haijalishi utapanda mara ngapi au ruti gani ili mradi umelipa hela ya mwezi we unagonga tuu kadi na mambo ni shwari.
 
wabongo pia hawajazoea kudumbukiza nauli wenyewe, kama watatakiwa kudumbikiza nauli na hamna konda basi wameuwawa, maana hata huku watu walioendelea huwa wanadumbukiza vitu vya ajabu ajabu, kuna coin flani hivi zinatumika kuchezea magemu, ni kama hela basi unakuta mtu anazo hizo, kila siku anapanda basi anadumbukiza tuu, ila siku hizi wameumbuka maana kama unadumbukiza coin kina kashimo chake, kama sio hela haiingii, ni kudhalilika patupu, teh teh, nadhani wataweka madaraja kama vile lile la manzese, daraja hilo litakuongeza mpaka kwenye kituo, ukishuka unapanda daraja kuvuka barabara itakua salama, ila wakiweka uzio itakua fujo tupu, wabongo wataruka tuu, na kwa nauli itabidi wawe wanatumia kadi, unaweka hela ya mwezi mzima, hapa nilipo unaweza kulipa kila siku ukipanda au ukiona shida kial siku kutembea na vichenji basi unanunua kadi ya mwezi mzima, haijalishi utapanda mara ngapi au ruti gani ili mradi umelipa hela ya mwezi we unagonga tuu kadi na mambo ni shwari.

card system itakuwa bomba! .... ila system ya kujitumbikizia pesa wasijaribu.. tehtehe but ifike kipindi tujifunze ustaarabu wa wenzetu nakumbuka Mh. JK alisema huu ujenzi usitishwe kwa sababu ni kiwanja cha kuchezea watoto! tehehehe! mbona bado unaendelea..?!! nafkiri mh. rais alijistukia amekosea.. na kuna siku nilikuwa naangalia ITV on-line kuna kipindi flani cha michezo kina dhaminiwa na PPF , kuna mdau alikuwa analalamika huu ujenzi unawanyima nafasi ya kufanya mazoezi ya mpira.. kwani kile ni kiwanja cha villa squad (nafkiri), kwa maoni yake ujenzi huu unasaidia kudidimiza maendeleo ya soka na akadai kuwa watu wengi watakufa sababu mabasi yatakuwa yanakimbia sana. nafkiri elimu inahitajika,

Serikali inabidi iwe na kipindi maalum TBC na TV nyengine kuonesha jinsi ya kutumia huu usafiri kama kweli ukiwepo. maana bila wananchi kufahamu matumizi yake itakuwa tafrani nadhani.
 
Kama walioko kwenye list of shame ndio wasimamizi wa miradi kama huu, ukimalizika mafisadi watakuwa billioneas
 
card system itakuwa bomba! .... ila system ya kujitumbikizia pesa wasijaribu.. teh tehe but ifike kipindi tujifunze ustaarabu wa wenzetu nakumbuka Mh. JK alisema huu ujenzi usitishwe kwa sababu ni kiwanja cha kuchezea watoto! tehehehe! mbona bado unaendelea..?!! nafkiri mh. rais alijistukia amekosea.. na kuna siku nilikuwa naangalia ITV on-line kuna kipindi flani cha michezo kina dhaminiwa na PPF , kuna mdau alikuwa analalamika huu ujenzi unawanyima nafasi ya kufanya mazoezi ya mpira.. kwani kile ni kiwanja cha villa squad (nafkiri), kwa maoni yake ujenzi huu unasaidia kudidimiza maendeleo ya soka na akadai kuwa watu wengi watakufa sababu mabasi yatakuwa yanakimbia sana. nafkiri elimu inahitajika,

Serikali inabidi iwe na kipindi maalum TBC na TV nyengine kuonesha jinsi ya kutumia huu usafiri kama kweli ukiwepo. maana bila wananchi kufahamu matumizi yake itakuwa tafrani nadhani.

ni kweli elimu inahitajika, kwanza watu wanaogopa wakisikia mabasi yandayo kasi, teh teh, wanadhani itakua ni kugongwa kwenda mbele, teh teh,halafu kama kiongozi wa juu kabisa yupo hivi je watu wa kawaida inakuaje? wamemkemea mchapa kazi magufuli hadharani, halafu jk anasema ondoeani hayo mabati hapo watoto watacheza wapi, du kazi kweli kweli , yaani kama wanajua umuhimu wa watoto kucheza kwanini hamna hata facility yoyote ya kuchezea watoto dar nzima, kuna eneo lolote lililojengwa kwa ajili ya watoto kuchezea bongo? hata kama michezo kwa nini wasijenge maeneo ya michezo mashuleni ili isaidie wanafunzi kwani sio wote wana akili za kwenda hadi chuo, wengi huishia katikati, wakijifunza michezo mizuri inayojulikana inaweza kuwa ajira yao, Tanzania iko wapi katika ulimwengu wa michezo, nakumbuka wachezaji wetu walipoenda kwenye mashidano ya olimpiki 2008, kuna mtu aliniuliza mbona sijaona wanamichezo wenu wakichukua medali yoyote? mi nilimwambia watakua wamekuja shopping na medali zao watachukua ubalozini wakimaliza ziara yao,
inasikitisha kama mtu wa juu kabisa tunaemtegemea kutuokoa kwa kila kitu halafu ye mwenyewe ndo mweupeeeeeee haopo gorofani, (kichwani) teh teh
 
Kama haitakuwa mazungumzo baada ya habari utakuwa ni mradi poa sana na hata jiji litakuwa na mtazamo tofauti....Tatizo hawa wenye magamba ndio wanatupotezea muelekeo!:nerd::yawn:
 
Back
Top Bottom