Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Drone Online Ads tumekuwa kwa muda mrefu tukiwasaidia watanzania mbinu tofauti na ushauri bure wa namna ya kujenga nyumba bora kwa kutumia gharama nafuu. Hii inatokana na uzofu wetu katika ujenzi, timu ya wataalam wa kutosha wanaoshirikiana sambamba na uwezo wa kupata materials ya ujenzi kutoka viwandani moja kwa moja.
Na sasa tumezindua mradi wa nyumba simple , ambapo utaweza kumiliki nyumba yako ya vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo cha ndani ambapo utamgharimu mteja kiasi cha milioni kumi na mbili (tzs 12,000,000) ndani ya siku 60 akikabidhiwa nyumba yake.
Nyumba zetu zinakuwa na Mlango mmoja wa grili,mlango mmoja wa mbao, Madirisha matano ya grili makubwa na grili dogo la dirisha la chooni, pamoja na Tanki la kuhifadhia maji la lita elf mbili (2,000) .
Kwa kila mwezi, tunajenga nyumba mbili tu kwa mradi huu wa nyumba simple ili rasilimali zetu zihamie miradi mikubwa.
Hivyo kama wewe unahitaji huduma hii , piga na 0713039875 kupata maelezo sambamba na kuweka oda yako mapema.
Na sasa tumezindua mradi wa nyumba simple , ambapo utaweza kumiliki nyumba yako ya vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko na choo cha ndani ambapo utamgharimu mteja kiasi cha milioni kumi na mbili (tzs 12,000,000) ndani ya siku 60 akikabidhiwa nyumba yake.
Nyumba zetu zinakuwa na Mlango mmoja wa grili,mlango mmoja wa mbao, Madirisha matano ya grili makubwa na grili dogo la dirisha la chooni, pamoja na Tanki la kuhifadhia maji la lita elf mbili (2,000) .
Kwa kila mwezi, tunajenga nyumba mbili tu kwa mradi huu wa nyumba simple ili rasilimali zetu zihamie miradi mikubwa.
Hivyo kama wewe unahitaji huduma hii , piga na 0713039875 kupata maelezo sambamba na kuweka oda yako mapema.