I understand some of you are suprised at this level dough. How do you know he is the sole shareholder? Maybe he is representing someone else. And if it is him how do you know ana assets gani zakupata collateral? Mashamba, investments nyingine? Huyu mtu kaja na thread isiyo na malelezo yoyote na nyie mnaleta ujamaa hapa na kumsupport... Being rich does not make anyone mchafu and yes there are people worth several million dollars so what? Nchi ikiwa na matatizo ndio kila mtu awe maskini? Toeni sababu au muacheni mwinyi apete tuu. SO you think he stole 10billion and is using it to build apartments.. Are you insane.lol No one invests using their own money to do things like that.. It is almost always the bank's money.. (and nasema haya as a corporate lawyer often dealing with these types of arrangements and furthermore I myself do modest investment in real estate) So swala la watu walizoea mishara ha laki 5 ama 1.5m kuanza shangaa mtu anacheza na 10 million dollars (it doesnt mean hizo hela anakula.. it is an investment portfolio sio sawa na mshahara..) MwanaFA umepatia kusema kuwa kuna watu wana some kind of class-beef. I am not a fan of social strata myself but it is a natural consequence of human interaction a special in the Capitalistic world.
I myself plan to retire with around 100 million dollars..does that mean I have ufisadi in my plans..NO way. Its just personal ambition and vision. Mtu asi invest, fisadi..
Nashukuru mkuu tena umesema wewe una shugulika na haya mambo, this eductaion is what forum needs, people need to be eductaed and to change their mind. Katika kufanya hivyo wala haihitaji matusi, ulichaondika hapa kina impact kubwa ya kuonyesha mjibu maada ni professional na anayesoma anajifunza jambo fulani. we need your eductaion even more than this.
Sasa hivi kuna msukumo wa watu kupima viwanja vyao na ukipata hati ni mmoja ya vigezo vinzvyokuwezesha kupata mikopo. we may have many questions regarding this project. However how clean it is we can not avoid questions!
Jamani mwacheni bwana mdogo..huyu dogo pamoja na kuwa ametoka familia ya rais mstaafu yupo cool.....sikatai kuwa baba yake alimpa viwanja sehemu nzuri...lakini naye ana akili ....alitumia viwanja vyake kuanza biashara ya kujenga na kupangisha nyumba....na kwa wale msiojuwa biashara hii ..unahitaji tu kuwa na eneo prime...mtaji wa kujenga unapewa na benki...wanabaki na hati...,na wengine wanakutaka malipo ya rent yapitie kwenye akaunti yao...its a good deal ...ukiamua kuuza nyumba unapata pesa maradufu......
Pia kitendo cha hussein kuweka jina lake kwenye mradi ni cha kupongezwa.....kwani angeweza kuandika jina la muhindi pale na msingejuwa....tuache wivu...tuwaunge mkono wenzetu pale wanapofanya mambo kwa uwazi..ili ku encourage ....wengine pia wawe wawazi!!!
Tabia ya kuita kila mtu fisadi inasababisha unafiki kwa viongozi ....tunawajuwa kina msutya wana hadi magorofa JAPAN....kwa ajili ya unafiki kaama huu...tumpongeze kijana amekuwa muwazi na anafanya juhudi kuongeza kile alichopewa na baba yake kama mbegu!!.....NADHANI furaha yenu mngependa kuona anauza na kutawanya ovyo kama teja!!!
kwa wale wenye maeneo sehemu nzuri na hawajui cha kufanyia ni bora wakaomba ushauri tu.....angalieni hata kijitonyama ,mwenge etc magorofa yanapanda ovyo...wengi wanakopa ..si mafisadi wote!
Mkuu uko sahihi rejea majibu ya MKJJ hapo juu, kuna vitu hatuwezi kukwepa kuuliza! tuna experience , tumepitia kwenye EPA,Rich, Bot, Loliondo, mke wa Mwinyi na zile tuhuma, nikisema kila scaadal nchi hii, zinamweka kila kiongozi kikaangoni.
Kuna watu wanapeleka fedha nje, hakuna aliyeamini kuwa Chenge ana vijisent nje, watu wanapoona issue kama hizi ambazo wengine ni ndoto+ hiyo experience lazima watu waulize!
Kuuliza huku bado kunatupa kutafakari tulipo na tunaenda wapi, kuuliza huku huku ndiko tulikowapata wachafu nchi hii, kuuliza huku huku ndiko kunawaamsha watu waseme ukweli wanaoujua!
Sijaona kama kuuliza kumekuwa kosa la jinai tena hasa unapomuuliza kiongozi wa umma! Lazima pia tufike mahali tukubali dhana ya kuwa kiongozi wa umma! ndio maana Tanzania siku zote tuna reference point, hakuongoza MOBUTU nchi hii kiasi cha kuwa wanaokuja wote wawe na mind ya Mobutu, tuliongozwa na Nyerere na tunajua alikuwaje na hizi issue za ubinafsi!
Kweli watu imefikia hatua ya kusema 'fisadi alikuwa baba' fedha zikienda kwa mtoto ni clean? kwa sababu anawekeza Tanzania, Mkapa mbona basi naye wazo lake lilikuwa zuri tu la kuchukua kiwira si angeleta ajira?
Kiongozi gani leo ataandika proposal ya kwenda kwenye mabenki yatoe mikopo ya kujenga mashule? na wananchi walipe kwa kiasi kidogo kabisa? nani leo ataandika proposal serikalini kuwa zijengwe nyumba za bei nafuu kabisa ambazo mtu anaweza kulipa sh.300 kwa siku kama mabibo hostel?
Nani ataandika proposal na kuwaaminisha benki kuwa tunahitaji madampo? na kila ayemwaga uchafu alipie kiasi iadogo tuwalipe benki? nani ataandika poposal ya kupata mkopo wa kununua madawati ya shule ya msingiTanzania nzima na kila mtoto achangie sh.50 kwa mwezi mpaka anamaliza darasa la saba?
Hizi benki tusipozitumia kwa ajili ya kuleta maendeleao kwa wananchi kwa nia ya kuwashirikisha wananchi kulipa mikopo kwa bei nafuu nani atawaisaidia? mikopo hii inakuwa ya wachache wenye fedha?
Nani anawaza leo kuwawezesha wachimba madini wadogo kwa njia ya mikopo, ili wajikwamue waajiri watanzania badala ya wahandisi wetu kuishia kuwa second hand engineers in minings?
Kiongozi gani atasema serikali inachukua mkopo kama mdhamini tunahitaji vijana waliomaliza mechanical engineering, computer engineering kufanya innovation fulani ambazo kwazo tutaokoa fedha nyingi na tutazitumia humu humu ndani?
Mabenki hayawezi yakafadhili uchimbaji wa chuma?, badala ya kupoteza hela kununua kila chuma nje, zikwemo nondo? wakati chuma ipo imelala na makaa ya kuyeyushia yapo?
Hizi benki zisaidie kuleta maendeleao kwa raia, sipingi haya ya binafsi lakini viongozi wakianza haya, tujue hakuna kiongozi atakayewaza niliyoyaandika ndio nchi inabaki kama vile ni NYAMA FULANI IKO SAKAFUNI NA KILA RAIA ANAINIMEGA KUTOKANA NA NGUVU ZAKE!!
Leaders should think beyond that ! they should have a sense of thinking more about people!