Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mkuuhivi usafiri wa train mwanza -Dar upo?
Si rahisi kuua Legacy, Lamda kama hatutaki maendeleo.Chadema watanyooka tu.
Walidhani watauwa legacy ya Magufuli.
Sharti la kula mpaka utaje chadema linakupa shida mpaka umekuwa mtumwa wa tumbo lako.Chadema watanyooka tu.
Walidhani watauwa legacy ya Magufuli.
Naomba kuwauzia tairi
Contractor ni Mchina mkuu.Contractor wa hiki kipande ni nani,nataka nisupply mbao.
Wauzie mataruma ya reli ndo wanataka.Naomba kuwauzia tairi View attachment 1792628
Yaani kila kitu wewe ni Siasa....daah utapata mimba usio tarajiaChadema watanyooka tu.
Walidhani watauwa legacy ya Magufuli.