DOKEZO Mradi wa SGR wa Itigi - Tura tunapigwa, wafanyakazi pia hawalipwi maslahi yao inavyotakiwa

DOKEZO Mradi wa SGR wa Itigi - Tura tunapigwa, wafanyakazi pia hawalipwi maslahi yao inavyotakiwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Jamani wanaohusika naomba msimamie kwa ukaribu sana mradi wa SGR unaoanza Itingi mpaka Tura, mfatilie malipo ya Wafanyakazi kutolipwa mishahara yao na kunyimwa haki kibao za kikazi

Kubwa zaidi na linaloumiza zaidi ukweli tunapigwa sana SGR hakuna ubora wowote

Kwa ufupi SGR inalipuliwa na ubora ni asilimia 0 kabisa, na pia mishahara inakatwa sana

Kinachofanyika pia kwa kuwa kuna makampuni tofauti kila mtu ambaye anaona anaweza kupiga sehemu anafanya upigaji, hakuna anayejali

Enzi za Magufuli wengi walikuwa waoga na hata upigaji ulikuwa ukifanyika kwa siri sana, sasa hivi wanaona hakuna kiongozi wa Serikali anayejali wana hawana uwoga kama waliokuwa nao kipindi kile, upigaji umekuwa mkubwa, Serikali iangalie la sivyo tutatengenezea kitu ambacho hakina ubora kisha baadaye majanga yaanze kutokea.
 
Una elimu yoyote ya uhabdisi!?...uhandisi wa reli!?...umepimaje ubora!?
 
Jamani wanaohusika naomba msimamie kwa ukaribu sana mradi wa SGR unaoanza Itingi mpaka Tura, mfatilie malipo ya Wafanyakazi kutolipwa mishahara yao na kunyimwa haki kibao za kikazi

Kubwa zaidi na linaloumiza zaidi ukweli tunapigwa sana SGR hakuna ubora wowote

Kwa ufupi SGR inalipuliwa na ubora ni asilimia 0 kabisa, na pia mishahara inakatwa sana

Kinachofanyika pia kwa kuwa kuna makampuni tofauti kila mtu ambaye anaona anaweza kupiga sehemu anafanya upigaji, hakuna anayejali

Enzi za Magufuli wengi walikuwa waoga na hata upigaji ulikuwa ukifanyika kwa siri sana, sasa hivi wanaona hakuna kiongozi wa Serikali anayejali wana hawana uwoga kama waliokuwa nao kipindi kile, upigaji umekuwa mkubwa, Serikali iangalie la sivyo tutatengenezea kitu ambacho hakina ubora kisha baadaye majanga yaanze kutokea.
Enzi za JPM taarifa tu zilikua hazitoki ila sio kama upigaji haukuwepo. Nakumbuka CAG alikatazwa kukagua manunuzi ya ATCL hata performance audit ya SGR ilifanyika baada ya JPM kufariki!

So as much as tushauri ufisadi umalizwe ila msitake kupotosha kuwa ulikua haupo. Kama ingekua kweli sidhani kama Nchambi angefanya ujangili wote ule wa mabilioni, sidhani kama Tanzanite ingepitishwa chini ya ukuta, sema tu ni vile Kulikua hakuna media freedom kama enzi za JK ama taarifa kuvuja ila mafisadi CCM hayakuwahi kuisha.

Ukitaka kujua Hilo niambie Kuna ripoti Gani ya CAG katika tawala zote za JPM iliyokosa tuhuma za ufisadi sio MSD sio Halmashauri sio immigration sio NIDA N.k
 
Wazo au taarifa yako ina mantiki
lakini kwanini tunapenda kulinganisha tawala? Sasa unapata majibu ambayo hayahusiani kabisa na taarifa yako
 
Enzi za JPM taarifa tu zilikua hazitoki ila sio kama upigaji haukuwepo. Nakumbuka CAG alikatazwa kukagua manunuzi ya ATCL hata performance audit ya SGR ilifanyika baada ya JPM kufariki!

So as much as tushauri ufisadi umalizwe ila msitake kupotosha kuwa ulikua haupo. Kama ingekua kweli sidhani kama Nchambi angefanya ujangili wote ule wa mabilioni, sidhani kama Tanzanite ingepitishwa chini ya ukuta, sema tu ni vile Kulikua hakuna media freedom kama enzi za JK ama taarifa kuvuja ila mafisadi CCM hayakuwahi kuisha.

Ukitaka kujua Hilo niambie Kuna ripoti Gani ya CAG katika tawala zote za JPM iliyokosa tuhuma za ufisadi sio MSD sio Halmashauri sio immigration sio NIDA N.k
Angalia ubora wa SGR ya Dar - Moro ndiyo utaelewa anachosema mleta mada
 
Una elimu yoyote ya uhabdisi!?...uhandisi wa reli!?...umepimaje ubora!?

Hii inaitwa taarifa...

Ndani yake imebeba jinai na madai, hivyo serikali ina nafasi ya kutendea kazi taarifa hii ili kuona kama kuna ukweli au lah...

Kuipuuzia na baadaye ikija kubainika ni kweli, basi wewe na mimi ndio tutaokuwa tumepigwa kodi zetu...
 
Enzi za JPM taarifa tu zilikua hazitoki ila sio kama upigaji haukuwepo. Nakumbuka CAG alikatazwa kukagua manunuzi ya ATCL hata performance audit ya SGR ilifanyika baada ya JPM kufariki!

So as much as tushauri ufisadi umalizwe ila msitake kupotosha kuwa ulikua haupo. Kama ingekua kweli sidhani kama Nchambi angefanya ujangili wote ule wa mabilioni, sidhani kama Tanzanite ingepitishwa chini ya ukuta, sema tu ni vile Kulikua hakuna media freedom kama enzi za JK ama taarifa kuvuja ila mafisadi CCM hayakuwahi kuisha.

Ukitaka kujua Hilo niambie Kuna ripoti Gani ya CAG katika tawala zote za JPM iliyokosa tuhuma za ufisadi sio MSD sio Halmashauri sio immigration sio NIDA N.k
Wewe una gundu na JPM, unabwabwaja tu
 
Jamani wanaohusika naomba msimamie kwa ukaribu sana mradi wa SGR unaoanza Itingi mpaka Tura, mfatilie malipo ya Wafanyakazi kutolipwa mishahara yao na kunyimwa haki kibao za kikazi

Kubwa zaidi na linaloumiza zaidi ukweli tunapigwa sana SGR hakuna ubora wowote

Kwa ufupi SGR inalipuliwa na ubora ni asilimia 0 kabisa, na pia mishahara inakatwa sana

Kinachofanyika pia kwa kuwa kuna makampuni tofauti kila mtu ambaye anaona anaweza kupiga sehemu anafanya upigaji, hakuna anayejali

Enzi za Magufuli wengi walikuwa waoga na hata upigaji ulikuwa ukifanyika kwa siri sana, sasa hivi wanaona hakuna kiongozi wa Serikali anayejali wana hawana uwoga kama waliokuwa nao kipindi kile, upigaji umekuwa mkubwa, Serikali iangalie la sivyo tutatengenezea kitu ambacho hakina ubora kisha baadaye majanga yaanze kutokea.
Yani sehemu walipo takiwa kuweka taluma wao wameweka fito,mrunda papi?
 
Jamani wanaohusika naomba msimamie kwa ukaribu sana mradi wa SGR unaoanza Itingi mpaka Tura, mfatilie malipo ya Wafanyakazi kutolipwa mishahara yao na kunyimwa haki kibao za kikazi

Kubwa zaidi na linaloumiza zaidi ukweli tunapigwa sana SGR hakuna ubora wowote

Kwa ufupi SGR inalipuliwa na ubora ni asilimia 0 kabisa, na pia mishahara inakatwa sana

Kinachofanyika pia kwa kuwa kuna makampuni tofauti kila mtu ambaye anaona anaweza kupiga sehemu anafanya upigaji, hakuna anayejali

Enzi za Magufuli wengi walikuwa waoga na hata upigaji ulikuwa ukifanyika kwa siri sana, sasa hivi wanaona hakuna kiongozi wa Serikali anayejali wana hawana uwoga kama waliokuwa nao kipindi kile, upigaji umekuwa mkubwa, Serikali iangalie la sivyo tutatengenezea kitu ambacho hakina ubora kisha baadaye majanga yaanze kutokea.
HII TAARIFA ISIYO RASMI SIYO YA KUBEZA HATA KIDOGO YAANI WATURUKI WA SGR KWA SASA HAWANA WOGA KABISA KABISA WANASHIRIKIANA NA WAZAWA KUPIGA PESA ZA MRADI , OBVIOUS LAZIMA KAZI ITAKUWA CHINI YA KIWANGO, NAJUA HUMU NDANI WAPO MA ENGINEER WAZAWA WANAONUFAIKA LAZIMA WAJE NA UTETEZI WA KIPUUZI. MIRADI KAMA HII YA PESA NYINGI LAZIMA WAWEKWE WASIMAMIZI HURU WA KIMATAIFA.
 
Hii inaitwa taarifa...

Ndani yake imebeba jinai na madai, hivyo serikali ina nafasi ya kutendea kazi taarifa hii ili kuona kama kuna ukweli au lah...

Kuipuuzia na baadaye ikija kubainika ni kweli, basi wewe na mimi ndio tutaokuwa tumepigwa kodi zetu...
Serikali ipo huko kwenye sgr na miradi mingine kila siku
 
Back
Top Bottom