Mradi wa TESP kuweka mazingira mazuri katika utoaji wa elimu ya ualimu vyuoni

Mradi wa TESP kuweka mazingira mazuri katika utoaji wa elimu ya ualimu vyuoni

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Mratibu wa Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu (TESP), Mwl. Cosmas Mahenge, ameelezea mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia mradi huo, ikiwemo ongezeko la vitabu na vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa wakufunzi na wanafunzi.

Aidha, ameeleza kuwa Mradi huo umewezesha ujenzi na ukarabati wa miundombinu kama vile Maktaba, Maabara, na Madarasa, hatua inayoboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia.

Aidha, Mwl. Mahenge alibainisha kuwa Mradi huo umesisitiza Usawa wa ijinsia katika elimu ya ualimu na matumizi sahihi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuimarisha maendeleo endelevu.
wizara_elimutanzania_0177e7730de04ab7acc2f10ba5bea895.jpg

wizara_elimutanzania_c51fe91f3cc74c79bc53fd8b1f6e7393.jpg
wizara_elimutanzania_bcff67b927c0464986cd7aea47024674.jpg
wizara_elimutanzania_4f537d03d3e8463e835d6e677d35a303.jpg
wizara_elimutanzania_9e965388aa984cc28f2278b262ceffca.jpg
wizara_elimutanzania_bbfec62b5cb5402894173e6b4c815c22.jpg


Mratibu wa Mradi wa Kuendeleza Elimu ya Ualimu (TESP), Mwl. Cosmas Mahenge, ameelezea mafanikio makubwa yaliyopatikana kupitia mradi huo, ikiwemo ongezeko la vitabu na vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa wakufunzi na wanafunzi.
 
Back
Top Bottom