Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Kuna nyasi mpya zinaitwa juncao zinafanana na elephant grass ni nzuri sana kupanda kwa ajili ya malisho ya ng'ombe,eneo dogo unalisha ng'ombe wengi kwa mwaka.
Kwa masuala ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa nyama,mbuzi na kondoo,malisho,matunzo na biashara ya maziwa, ng'ombe wa nyama na mbuzi nichek.
0756625286.
Japo picha y majani hayo mdau
 
Mimi ng'ombe sisomi kwenye vitabu. Mimi nafuga ng'ombe. I used to 'AI' aiseh hiyo siyo tu ni changamoto lakini hata ubebaji wa mimba kwa mitamba ni inshu. Mfano shamba langu nina majike zaidi ya 10 kila mtaalamu akija kupandisha anataka 20elfu. Na mrija bwana unaweza rudia hata mara tatu ndipo ng'ombe ashike mimba.
Achana na changamoto za kujua yupo kwenye joto au laaah tena wengine wana joto la kisirisiri.

Faida ya dume;
i. Anapanda, na anatambua joto mwenyewe wewe unalisha majani na chanjo tu
ii. Anapanda kwa wakati hivyo kukupunguzia usumbufu
iii. Dume pia hufanya ufugaji kulijua banda lako kinasaba badala ya longolongo za wataalamu maana anaweza kuzisifia mbegu za dume kumbe wala dume hana sifa hizo anazozisema

In fact, your not needed to be mechanical engineer to drive a car.
Dume mzee ni habari nyingine. Huwa anapanda hata usiku ukiamka unakuta habari imeisha
kweli kabisa. Mimi katika shamba langu, nilijaribu mara 3 kutumia AI. Lakini sikufanikiwa. Nilichokipata ni kuchelewa kupata ndamana, maana ilinibidi nimtafute dume. Mwishowe, niliamua kuwa na dume
 
kweli kabisa. Mimi katika shamba langu, nilijaribu mara 3 kutumia AI. Lakini sikufanikiwa. Nilichokipata ni kuchelewa kupata ndamana, maana ilinibidi nimtafute dume. Mwishowe, niliamua kuwa na dume
kwa nini usitumie AI
 
Mimi ng'ombe sisomi kwenye vitabu. Mimi nafuga ng'ombe. I used to 'AI' aiseh hiyo siyo tu ni changamoto lakini hata ubebaji wa mimba kwa mitamba ni inshu. Mfano shamba langu nina majike zaidi ya 10 kila mtaalamu akija kupandisha anataka 20elfu. Na mrija bwana unaweza rudia hata mara tatu ndipo ng'ombe ashike mimba.
Achana na changamoto za kujua yupo kwenye joto au laaah tena wengine wana joto la kisirisiri.

Faida ya dume;
i. Anapanda, na anatambua joto mwenyewe wewe unalisha majani na chanjo tu
ii. Anapanda kwa wakati hivyo kukupunguzia usumbufu
iii. Dume pia hufanya ufugaji kulijua banda lako kinasaba badala ya longolongo za wataalamu maana anaweza kuzisifia mbegu za dume kumbe wala dume hana sifa hizo anazozisema

In fact, your not needed to be mechanical engineer to drive a car.
Dume mzee ni habari nyingine. Huwa anapanda hata usiku ukiamka unakuta habari imeisha
uza dume moja nunu mtungi kasome kozi ni mwezi tuh kama sikosei vuna mbegu zako hifadhi fanya AI mwenyewe
 
uza dume moja nunu mtungi kasome kozi ni mwezi tuh kama sikosei vuna mbegu zako hifadhi fanya AI mwenyewe
Huu ni ushauri bora kabisa kuhusu uhamilishaji (kupandisha kwa chupa) au AI.
Safi sana. Kama unao muda unaweza kufanya hivi.
 
Natafuta breed nzuri ya Ng'ombe wa Maziwa anayeweza Fanya vizuri Kanda ya Ziwa,specifically Geita.Kuna Mwenye uzoefu na Kabuki au Ukiriguru?Au hata Mawasiliano ya Kituo cha Mabuki?Au kuna anayejua taratibu za kuleta Mnyama toka Nchi Jirani Kama Kenya au Uganda?
Natanguliza Shukrani.
 
Natafuta breed nzuri ya Ng'ombe wa Maziwa anayeweza Fanya vizuri Kanda ya Ziwa,specifically Geita.Kuna Mwenye uzoefu na Kabuki au Ukiriguru?Au hata Mawasiliano ya Kituo cha Mabuki?Au kuna anayejua taratibu za kuleta Mnyama toka Nchi Jirani Kama Kenya au Uganda?
Natanguliza Shukranne
Nenda kitulo nyanda za juu kusini au wasiliana na kampuni ya Asas nao pia huuza ng'ombe 🐄 wa maziwa wenye mimba.
 
Nenda kitulo nyanda za juu kusini au wasiliana na kampuni ya Asas nao pia huuza ng'ombe 🐄 wa maziwa wenye mimba.
Shukrani mkuu.Mashaka yangu ni kama hawa wa Kituo na ASAS watafanya vema Maeneo ya Joto kama Geita!
 
Nenda kitulo nyanda za juu kusini au wasiliana na kampuni ya Asas nao pia huuza ng'ombe 🐄 wa maziwa wenye mimba.
Kitulo hawana ng'ombe tena wanaouza wale, washapigwa bao na wanyakyusa wamewaibia sijui. Inasikitisha sana tunategemea mashamba ya serikali yatusaidie kupata mitamba bora kwa wepesi, lakini wanakwambia wamesitisha kuuza. Ng'ombe anauza ASAS naonaga anaewasafirisha friesian Holstein toka SA fatilia page yao ya afrifarms pale Instagram huwa wanawapost wakishawaleta.
 
Kitulo hawana ng'ombe tena wanaouza wale, washapigwa bao na wanyakyusa wamewaibia sijui. Inasikitisha sana tunategemea mashamba ya serikali yatusaidie kupata mitamba bora kwa wepesi, lakini wanakwambia wamesitisha kuuza. Ng'ombe anauza ASAS naonaga anaewasafirisha friesian Holstein toka SA fatilia page yao ya afrifarms pale Instagram huwa wanawapost wakishawaleta.
Pia mtu unaweza agiza mbegu Kenya kisha ukapandikiza ng'ombe 🐄 wako wa kienyeji.
 
Pia mtu unaweza agiza mbegu Kenya kisha ukapandikiza ng'ombe 🐄 wako wa kienyeji.
Hiyo sio shida, tunapenda kuona serikali inachangia ukuwaji uchumi wa wafugaji nilipenda sana kama ningepanda ng'ombe wa kitulo lakini sikupata hivyo nilienda Luteba Mwakaleli kununua kwq wenyeji.
 
Back
Top Bottom