Mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ukikamilika kuifanya kuwa bandari kubwa zaidi ya ROTTERDAM

Mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ukikamilika kuifanya kuwa bandari kubwa zaidi ya ROTTERDAM

Shigganza

Senior Member
Joined
May 24, 2018
Posts
160
Reaction score
412
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo unaotarajiwa kuanza hivi karibuni chini ya kampuni ya China Merchant Holdings inatarajiwa ukikamilika utaifanya bandari hiyo kuwa kubwa zaid barani Afrika kutokana na kuwa na magati yenye urefu hadi kufikia kilomita 20 na kuhudumia makontena zaidi ya milioni 20 idadi ambayo ni kubwa kuliko ile inayohudumia bandari ya kubwa barani ulaya ya ROTTERDAM.

Kando na huduma za forodha, katika eneo la bandari hiyo kutakuwa na ukanda mahsusi wa kiuchumi ( special economic zone)ambao utachagiza mapinduzi ya viwanda nchini

Ni mradi mwingine mujarabu kabisa chini ya Serikali ya awamu ya tano ambao unaenda kuweka kumbukumbu isiyofutika kwani vizazi na vizazi vitashuhudia faida za kukua kwa biashara kwa eneo hilo, upatikanaji wa ajira na kuingizia Serikali mapato ambayo hutumika katika kugharamia huduma mbalimbali ikiwemo za elimu, afya, maji na miundombinu.

 
Kama wataendelea na nia yao ya kutaka kumuua lissu jua kabisa hata huo ujenzi hautakamilika!
 
Laiti tungewekeza vizuri kwenye elimu na lishe bora
 
Tuongee vitu vyenye fact, Kama LIssu mwenyewe mbele ya mr Sucker alishindwa kuthitisha wewe unapata wap ujasiri wa kutuhumu hovy
kama wataendelea na nia yao ya kutaka kumuua lissu jua kabisa hata huo ujenzi hautakamilika!
 
Tuongee vitu vyenye fact, Kama LIssu mwenyewe mbele ya mr Sucker alishindwa kuthitisha wewe unapata wap ujasiri wa kutuhumu hovy

Lisu hana vyombo vya kudhibitisha, bali vyombo vya dola ndio vinatidhibitishia kwa kuacha kutekeleza wajibu wao.
 
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo unaotarajiwa kuanza hivi karibuni chini ya kampuni ya China Merchant Holdings inatarajiwa ukikamilika utaifanya bandari hiyo kuwa kubwa zaid barani Afrika kutokana na kuwa na magati yenye urefu hadi kufikia kilomita 20 na kuhudumia makontena zaidi ya milioni 20 idadi ambayo ni kubwa kuliko ile inayohudumia bandari ya kubwa barani ulaya ya ROTTERDAM.

Kando na huduma za forodha, katika eneo la bandari hiyo kutakuwa na ukanda mahsusi wa kiuchumi ( special economic zone)ambao utachagiza mapinduzi ya viwanda Nchini

Ni mradi mwingine mujarabu kabisa chini ya Serikali ya awamu ya tano ambao unaenda kuweka kumbukumbu isiyofutika kwani vizazi na vizazi vitashuhudia faida za kukua kwa biashara kwa eneo hilo, upatikanaji wa ajira na kuingizia Serikali mapato ambayo hutumika katika kugharamia huduma mbalimbali ikiwemo za elimu, afya, maji na miundombinu.

kama mpango huu bado uko katika matarajio kwanini tumefanya ukarabati mkubwa katika bandari ya Dar es salaam Km Chache kutoka Bagamoyo!!!!!!
 
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo unaotarajiwa kuanza hivi karibuni chini ya kampuni ya China Merchant Holdings inatarajiwa ukikamilika utaifanya bandari hiyo kuwa kubwa zaid barani Afrika kutokana na kuwa na magati yenye urefu hadi kufikia kilomita 20 na kuhudumia makontena zaidi ya milioni 20 idadi ambayo ni kubwa kuliko ile inayohudumia bandari ya kubwa barani ulaya ya ROTTERDAM.

Kando na huduma za forodha, katika eneo la bandari hiyo kutakuwa na ukanda mahsusi wa kiuchumi ( special economic zone)ambao utachagiza mapinduzi ya viwanda Nchini

Ni mradi mwingine mujarabu kabisa chini ya Serikali ya awamu ya tano ambao unaenda kuweka kumbukumbu isiyofutika kwani vizazi na vizazi vitashuhudia faida za kukua kwa biashara kwa eneo hilo, upatikanaji wa ajira na kuingizia Serikali mapato ambayo hutumika katika kugharamia huduma mbalimbali ikiwemo za elimu, afya, maji na miundombinu.

Hakunajipya, kwani wakati wa ujenzi wa bomba la gesi la mtwara tuliambiwa ni la pili kwa urefu duniani, leo kuna nini cha maana tumekiona?
 
Ujenzi wa bandari ya Bagamoyo unaotarajiwa kuanza hivi karibuni chini ya kampuni ya China Merchant Holdings inatarajiwa ukikamilika utaifanya bandari hiyo kuwa kubwa zaid barani Afrika kutokana na kuwa na magati yenye urefu hadi kufikia kilomita 20 na kuhudumia makontena zaidi ya milioni 20 idadi ambayo ni kubwa kuliko ile inayohudumia bandari ya kubwa barani ulaya ya ROTTERDAM.

Kando na huduma za forodha, katika eneo la bandari hiyo kutakuwa na ukanda mahsusi wa kiuchumi ( special economic zone)ambao utachagiza mapinduzi ya viwanda Nchini

Ni mradi mwingine mujarabu kabisa chini ya Serikali ya awamu ya tano ambao unaenda kuweka kumbukumbu isiyofutika kwani vizazi na vizazi vitashuhudia faida za kukua kwa biashara kwa eneo hilo, upatikanaji wa ajira na kuingizia Serikali mapato ambayo hutumika katika kugharamia huduma mbalimbali ikiwemo za elimu, afya, maji na miundombinu.

Kwa kumbukumbu zangu, mpaka unabandika bandiko hili serikali ilishasitisha utekelezaji wa mradi huu. Sijui kwanini ulilileta😂😂😂😂
 
Mkisha kula ugali na pili pili mnaanzisha nyuzi yoyote tuu...hiyo bandari mnaisikia au...
 
Back
Top Bottom