Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ameinyooshea kidole Wizara ya Nishati kutokana na kushindwa kusimamia mradi wa ujenzi wa njia kuu ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 132 kutoka Tabora hadi Katavi ambao umechelewa kwa takribani miezi 8 sasa. Ujenzi wa Mradi huo uko asilimia 12 tu.
Sitaki kiswahili wala kisingizio ikifika Oktoba 2023 Mradi ukamilike na umeme ufike Katavi.
Ziara ya Makamu wa Rais Dk. Mpango Mkoa wa Katavi imekuwa chungu kwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba ambaye Wizara yake ndio imelalamikiwa kwa kuchelewesha mradi huo.
Kwanini Miradi muhimu kama hii inashindwa kusimamiwa kimalifu hadi Kiongozi Mkuu wa Nchi kulalamika kiwango hicho?
Sitaki kiswahili wala kisingizio ikifika Oktoba 2023 Mradi ukamilike na umeme ufike Katavi.
Ziara ya Makamu wa Rais Dk. Mpango Mkoa wa Katavi imekuwa chungu kwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba ambaye Wizara yake ndio imelalamikiwa kwa kuchelewesha mradi huo.
Kwanini Miradi muhimu kama hii inashindwa kusimamiwa kimalifu hadi Kiongozi Mkuu wa Nchi kulalamika kiwango hicho?