Pongezi nyingi sana kwa Serikali ya awamu ya 6 chini ya Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu kwa kuamua kufanya zoezi hili muhimu na nyeti kwa usalama wa nchi yetu lakini pia kwa uchumi wa Taifa kwa ujumla.
Zoezi hili ni muhimu na nyeti sana, ni zoezi mtambuka kwani linagusa kila wizara, kila sekta, hivyo ni muhimu watendaji watakao endesha na kusimamia zoezi hili wakawa ni watu weledi, waaminifu na wazalendo.
Mara zote miradi muhimu kama hii inaharibiwa na watendaji wanao tekeleza huku chini ambapo wakati huo viongozi hawahusiki hapo ndipo mambo huharibiwa.
Chonde chonde ili mradi huu mkubwa ulete maana iliyo kusudiwa basi viongozi wetu wote wafuatilie kwa makini haswa ktk Jiji la DSM ambalo linachangamoto lukuki.
Zoezi hili ni muhimu na nyeti sana, ni zoezi mtambuka kwani linagusa kila wizara, kila sekta, hivyo ni muhimu watendaji watakao endesha na kusimamia zoezi hili wakawa ni watu weledi, waaminifu na wazalendo.
Mara zote miradi muhimu kama hii inaharibiwa na watendaji wanao tekeleza huku chini ambapo wakati huo viongozi hawahusiki hapo ndipo mambo huharibiwa.
Chonde chonde ili mradi huu mkubwa ulete maana iliyo kusudiwa basi viongozi wetu wote wafuatilie kwa makini haswa ktk Jiji la DSM ambalo linachangamoto lukuki.