Leo wanafanya uzinduzi wa ZINDUKA,
wapo Tandahimba Sekondari.
Wameunganika na baadhi ya shule zilizopo wilayani Tandahimba.
Huu muda ni wa vipindi darasani, lakini vimevunjwa.
Taarifa nilizozipata, kuanzia saa 4 asubuhi watoto wapo kwenye uzinduzi huo.