Mradi wa zinduka na shule za sekondari mkoa wa Mtwara

Mradi wa zinduka na shule za sekondari mkoa wa Mtwara

Sibhonike

Senior Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
156
Reaction score
16
Leo wanafanya uzinduzi wa ZINDUKA,
wapo Tandahimba Sekondari.
Wameunganika na baadhi ya shule zilizopo wilayani Tandahimba.
Huu muda ni wa vipindi darasani, lakini vimevunjwa.
Taarifa nilizozipata, kuanzia saa 4 asubuhi watoto wapo kwenye uzinduzi huo.
 
Leo wanafanya uzinduzi wa ZINDUKA,
wapo Tandahimba Sekondari.
Wameunganika na baadhi ya shule zilizopo wilayani Tandahimba.
Huu muda ni wa vipindi darasani, lakini vimevunjwa.
Taarifa nilizozipata, kuanzia saa 4 asubuhi watoto wapo kwenye uzinduzi huo.



Kuna tetesi nimezipata hapa, kuwa kugawa hizo net/chandarua ni hadi mwezi wa 5 au 6.
 
Back
Top Bottom