Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasikia wabunge wameamua kutuchangisha wananchi kwenye kikako kijacho cha bajeti ili tuwarudishie Mkapa na wenziwe zile shilingi millioni 70 walizolipa kule Kiwira, kumbuka kuwa Mramba naye yupo kule, iwapo serikali haitachukua hatua nzito dhidi yao,
hii vibweka vya wakubwa mod !!
au na mie nilete "facts" za mbowe kuajiri wasauzi kwenye hoteli yake (aliyoshindwa kumalizia mkopo)?.... where is this guy's patriotism ? mkopo kapewa tanzania, kashindwa kulipa, then anaajiri wasauzi ?
nimependa jibu lako... ndio maana hii inaitwa JF..tunazungumzia Mramba mtu anakuja kutishia mtu mzima nyau!
hii vibweka vya wakubwa mod !!
au na mie nilete "facts" za mbowe kuajiri wasauzi kwenye hoteli yake (aliyoshindwa kumalizia mkopo)?.... where is this guy's patriotism ? mkopo kapewa tanzania, kashindwa kulipa, then anaajiri wasauzi ?
Ninavyojua mimi ni kwamba hajawaajiri wa South African,ila kawakodisha.Na hio ni Protea kule Machame,sio? Billicanas,yes ana mkopo na sio siri.Sasa kama its a question of patriotism kwa yeye kukodisha hoteli yake kwa wasauzi,then tutasema nini kuhusu serikali yetu,iliyowapa baadhi ya rasilimali zetu haohao wasauzi,bureee!
hii vibweka vya wakubwa mod !!
au na mie nilete "facts" za mbowe kuajiri wasauzi kwenye hoteli yake (aliyoshindwa kumalizia mkopo)?.... where is this guy's patriotism ? mkopo kapewa tanzania, kashindwa kulipa, then anaajiri wasauzi ?
... Bw. Basil Mramba ameamua kuachilia umiliki wa hoteli yake ya Kibo Palace iliyoko Arusha karibu na cliniki ya AICC.