Mramba, Mrisho, Mgonja, et al.. chunguni?

Mwanakijiji ni lini huyo bwana atafikishwa mahakani maaana hii story ya Mramba kufikishwa mahakamani nimeisikia kabla hata kabla ya ujio wa Yesu
 

Ina maana Mkapa na mme mwenza na mke wao walihusika kwenye kwenye meremeta, Deep Green Finance, Mwananchi, EPA Kagoda?

Tutapenda kusikia hizo hela zimerudishwa ziwalipe walimu na wanafunzi wa chuo kikuu wasomeshwe nazo, tungependa kuona mtu kama huyu hapewi dhamana maana wananchi tumekula majani vya kutosha.
 
jamani eeeh

mzee wa DATAZ ndio keshapewa BAN sasa mnafikiri ES angekwepo atungekuwa na inside info
 
Mwanakijiji ni lini huyo bwana atafikishwa mahakani maaana hii story ya Mramba kufikishwa mahakamani nimeisikia kabla hata kabla ya ujio wa Yesu

Ilikuwa iwe jana lakini ikaahirishwa; ni leo jioni ndio nimefahamu kwanini waliahirisha.. nitaupdate the original story in a minute.
 
Mzee wa Dataz ES ndio mshamfungia sasa sijui mtazipata wapi zingine

yale yaleee ya Mkulima kula mbegu
 

Seconded!
Anzisha basi thread nyingine tusijekuharibu mtiririko wa thread hii...
 
Ilikuwa iwe jana lakini ikaahirishwa; ni leo jioni ndio nimefahamu kwanini waliahirisha.. nitaupdate the original story in a minute.

Mzee Mkjj lete update hiyo, maana inavyoonekana hapa kuna watu wapo kwa ajili ya kuchota mawazo ya watu na kuwaondoa kwenye mwelekeo wa hii thread.

By the way yule mgonjwa wetu kule US anaendeleaje?
 
kwanini huyu mkuu wa medani afungiwe?? Kuna ukweli ktk hili au GOT umeamua kuwa kauzu.
 
Mtakula visivyoliwa wakuu. Ccm si ya vilema kama mnavyodhani
 
Kuhani said:
Unamshukuru polisi kwa kufukuza mwizi ?

Unamshukuru Mkuu wa Tume ya kupambana na rushwa kwa kupambana na rushwa ?

Unamshukuru Mwanasheria Mkuu kwa kufuata sheria ?

Kuhani,

..nilipotuma posting ile nilikuwa na nia ya kuchokoza mjadala tupime kama hii timu ya Raisi imetimiza wajibu wake, na kwa kiwango kipi.

..nilitegemea wachangiaji makini kama wewe wangetoa hoja kuhusu mafanikio na mapungufu kuhusu kazi iliyofanyika.

..kuhusu maswali yako: Polisi akifukuza mwizi sugu na kusababisha mali aliyoiba kupatikana, hata kama asipomkamata mwizi yule, wananchi wanaweza kumpa asante/pongezi.

..tunaweza kumshukuru Mkuu wa Taasisi ya Rushwa ya serikali ya CCM kwa kujirudi na kuamua kupambana na rushwa. tunapofanya hivyo siyo lazima tuwe tumeridhika na kazi yake, bali ni kumpa moyo apambane na rushwa kubwa zaidi.

..zingatia kwamba tunaishi ktk Tanzania inayoongozwa na CCM.


Kitila Mkumbo said:
Ndio hayohayo ya kumsifia baba/mama kwa kumnunulia mwanae nepi, waTZ tuna mambo sio kidogo! Tunahitaji kubadilika kifikra kabla ya viongozi wetu.

Kitila Mkumbo,

..sijui Chadema mmejiandaa vipi with these developments.

..sidhani kama mlifanya kazi ya kuridhisha katika ku-establish a link btn rushwa na wizi huu na CCM na kampeni za uchaguzi.

..pia mmeelekeza nguvu nyingi kumuandama Raisi mstaafu kuliko huyu ambaye yuko madarakani.

..nadhani the end game ni JK kujikosha mbele ya wananchi kwamba anashughulikia rushwa, na kupata huruma na imani ya wananchi.

..nilitegemea ungejielekeza kujenga hoja ktk masuala hayo hapo juu, badala yake umekuja na hoja ya BABA na NEPI!!!
 
cjakusoma mkuu..clarifications please...
 
Niachieni jimbo langu jamani....Rombo 2010 for a change!! teh teh teh teh

Ushi wa Rombo

Nadhani mkuu wewe ndiye utakayeni-endorse ktk dakika za mwisho,yaani wewe ndiye utakaekua Colin Powell wangu .Teh teh teh! Aika mmeku.
 
Wakuu huyu Mramba nimelia nae sana hapa JF lakini nilikua nashangaa kwanini yeye alikua haguswi.

Ni wakati sasa wa kumkomalia mpaka kieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…