Mramba na Yona, Wakabidhiwa vifaa vya usafi Hospitali ya Palestina

Mramba na Yona, Wakabidhiwa vifaa vya usafi Hospitali ya Palestina

Mtu yoyote mwenye akili timamu hawezi kuwanyanyasa hawa wazee huko gerezani au huko sinza.Amini usiamini huko gerezani wanapata heshima kubwa saana toka kwa wafungwa na hata askari jela.
 
Ila kuna FEDHEHA kiasi chake,mtu uliye zoea ofisi yenye viyoyozi na kukaa kwenye executive chair kiasi cha kuwa na jeuri ya kuwakebehi Watanzania kuwa ikibidi wata kula nyasi leo hii unashika fagio na rake una wafagilia hospitali yao Watanzania wale wale huku waki kutizama tuli ambiwa lakini, ajidhanie ame simama aangalie asi anguke,MUNGU HUYU,MUNGU HUYU basi tu.
Kwa wasioelewa wanaona hii adhabu ni ndogo sana wamesahau FEDHEHA wanayopata hawa jamaa, Adhabu ya aina yake
 
Lakini swali la kujiuliza je hasara walio isababishia serikali imerudishwa? Au ndio inaishia kwa kufanya usafi?! Ikumbukwe kuwa hasara ni kubwa iliyodababishwa na utendaji wao.
 
Kimsingi watuhumiwa wengi ambao kesi zimekaa vibaya kufanya usafi (Community Service) ni deal sana
 
Watu wengi wamekua wakiitumia vibaya hii option ya Community Service.
Kwa aina ya makosa waliyotiwa nayo hatiani kifungo pekee hakikutosha.
Adhabu muafaka ilipaswa iambatane na kulipa fidia serikali kwa hasara waliyosababisha. An order which was never granted even upon the Court being moved.
 
kuna vijana kibao wanataka kazi na hawana kazi ingekua busara sana kama wangefilisiwa kiwango cha hasara waliosababisha alafu izo pesa zingeajiri vijana wa kitanzania kufanya usafi mzuri zaidi kwa sababu hata ikawaje haiwezekani kwa watu wawili tu wakafanya usafi eneo la hospitari na likawa safi uwo ni mujiza
 
Kama ni adhabu na publicity imetosha.Waacheni wapumzike majumbani kwao wawe wanaripoti kituo cha Polisi kila baada ya wiki. Usicheke wewe hujui ya kwako.
 
Wtz tunachezewa akili na serikali ya ccm, eti watu wameiba Mabilioni wanapewa adhabu ya kufagia! Haya ni maigizo tu
 
Hata wao wanatamani kudeki kuliko kukaa gerezani, kwa hiyo wewe utakuwa unatamani kitu ambacho mwenzako amekichagua
Mwisho wa siku kila upande utafaidika na kitendo cha wao kupiga deki, wewe utafaidi kuona na wao watafaidi kuwa nje ya jengo la gereza. Wao wana chenji ya yale mahela ila wewe huna, lakini walau unafaidi kuwaona wakipiga deki. Jioni kila mtu anarudi kwao, mmoja ana hela za kufaidi na familia yake na mwingine ana simulizi za kufaidi na familia yake
mkuu wewe ni mchambuzi mahiri.
 
Lakini naona hii imekaa kivisasi zaidi, siamini kinachoendelea kwa hao jamaa, serikali zetu za Africa hazina utamaduni huo, sanasana ni kujiuzulu au kufukuzwa kazi mchezo uishia hapo.
 
Kwa wasioelewa wanaona hii adhabu ni ndogo sana wamesahau FEDHEHA wanayopata hawa jamaa, Adhabu ya aina yake


Usidhani watanzania wote ni wajinga na wapumbavu,endeleeni na maigizo yenu ya kutumbuana majipu na kuunda mahakama ya mafisadi.Kama hukumu za mahakama za mafisadi zitakuwa za aina hii,ni bora fedha zitakazotumika kuwalipa majaji wa mahakama hizo zipelekwe kwa L46b7 wanaokufa njaa kwa kushindia viwavijeshi ilihali walikesha jf 24hrs wakitoa porojo za mahakama ya mafisadi.

Daniel Yona ni mwanahisa na mmiliki mwenza wa Kampuni ya ANBEN iliyofunguliwa na Mkapa kwa kutumia anuani za Ikulu.B.P.Mramba alikuwa waziri wa fedha ilyehudumu kipindi cha EPA fedha iliyopigwa ili kuiingiza CCM ya mkwere madarakani.

Wakata viuno wa Lumumba njooni sasa hadharani na "pambio zenu za sifa" eti ccm ya Magufuli ni kiboko cha mafisadi.Mtu apige mabilioni ya shilingi halafu umfunge miezi sits kisha utuambie unadhibiti ufisadi,upumbavu zenu,maigizo haya kayafanyieni ndani ya Lumumba siyo mbele ya wadanganyika.
 
Enzi za nyerere watu wa namna hii ilikua viboko 24....12 wakati wa kuingia, 12 wakati wa kutoka korokoroni ili wakawaoneshe wakezao.

mwenye data za wafungwa waliowahi kuchapwa viboko 24 enzi za utawala wa nyerere atuwekee hapa
 
Usidhani watanzania wote ni wajinga na wapumbavu,endeleeni na maigizo yenu ya kutumbuana majipu na kuunda mahakama ya mafisadi.Kama hukumu za mahakama za mafisadi zitakuwa za aina hii,ni bora fedha zitakazotumika kuwalipa majaji wa mahakama hizo zipelekwe kwa L46b7 wanaokufa njaa kwa kushindia viwavijeshi ilihali walikesha jf 24hrs wakitoa porojo za mahakama ya mafisadi.

Daniel Yona ni mwanahisa na mmiliki mwenza wa Kampuni ya ANBEN iliyofunguliwa na Mkapa kwa kutumia anuani za Ikulu.B.P.Mramba alikuwa waziri wa fedha ilyehudumu kipindi cha EPA fedha iliyopigwa ili kuiingiza CCM ya mkwere madarakani.

Wakata viuno wa Lumumba njooni sasa hadharani na "pambio zenu za sifa" eti ccm ya Magufuli ni kiboko cha mafisadi.Mtu apige mabilioni ya shilingi halafu umfunge miezi sits kisha utuambie unadhibiti ufisadi,upumbavu zenu,maigizo haya kayafanyieni ndani ya Lumumba siyo mbele ya wadanganyika.
mkuu, inawezekana serilkali ya 4 iliwafunga kwa makosa sasa wametafutiwa namna ya kuwapunguzia makali ya adhabu
 
Hawa ni viongozi waliokuwa waandamizi katika taasisi na wizara nyeti za umma!
Is this right treat!

1915465_10207506358090119_6148604296969912590_n.jpg
Sheria ni msumeno zikifuatwa kama zilivyoweka hakuna suala la kuwa kiongozi mwandamizi.Najiuliza tu kwa nini sinza hospitali na isiwe pale posta kuu ili iwe fundisho.😉
 
Back
Top Bottom