Mratibu Elimu kata ya Kabarimu wilayani Bunda anadhalilisha Walimu

Mratibu Elimu kata ya Kabarimu wilayani Bunda anadhalilisha Walimu

Huyu mama Kwa jina maarufu la Tabu ni mke wa askari mmoja pale kituo cha polisi Bunda.Mazingira ya vp alipewa hiki cheo cha uratibu kata kila mtu huwa anajiuliza,anakosa majibu.Kiukweli kazi ya kusimamia kundi nyeti kama walimu inahitajika mtu mwenye busara sana tofauti na makando kando mengine.
Huyu mama kwenye misafara ya mitihani Huwa ni miongoni mwa viongozi wa misafara ya ugawaji mitihani.Amekuwa akiwatusi walimu na kuwakejeli huku akiwatishia kwamba atawaribia kazi Kwa mwajiri wao.
Pili uwezo wake kwenye presentation ni mdogo sana,hata kujibu hoja za kawaida za walimu kwenye discussion huwa hawezi zaidi ya kuishia kupanic.Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff ila kwa huyu MEK kutokana na kutokujua kiingereza hata cha kuombea maji amekuwa akipiga mijadala yake myepesi Kwa kiswahili mwanzo mwisho.
Aliyewahi kuwa REO mkoa wa Mara Mr.Sembeye aliwahi kuhoji hadharani vigezo vipi vilitumika kumpa nafasi Ile huyu mama
Tunakuomba Afisa elimu (idara ya elimu sekondari)uondoe hiki kirusi kwenye halmashauri au mpangie majukumu mengine.She is a specialist of failure...

"She is a specialist of failure..." 🤣🤣
 
Hawa watu ni kuwapa fucks , mimi mratibu wangu alileta mambo kama hayo,ooh dogo tulia,sisi ni wakubwa zako,hata sahau, nilimwambia mbele za wakubwa zake dogo mwenyewe na hauna maadili ya kazi wewe,huwezi niita dogo kama huwa una nilisha,kawaite dogo watu wa nyumbani kwako.Hadi leo hii ana niiheshimu sana.

Tatizo letu walimu wengi ni waoga,lakini mimi naamini mpumbavu hujibiwa kipumbavu na mwerevu hujibiwa kiuelevu,kazi kwako mwalimu,mimi sina cha kupoteza
 
Hawa watu ni kuwapa fucks , mimi mratibu wangu alileta mambo kama hayo,ooh dogo tulia,sisi ni wakubwa zako,hata sahau, nilimwambia mbele za wakubwa zake dogo mwenyewe na hauna maadili ya kazi wewe,huwezi niita dogo kama huwa una nilisha,kawaite dogo watu wa nyumbani kwako.Hadi leo hii ana niiheshimu sana.

Tatizo letu walimu wengi ni waoga,lakini mimi naamini mpumbavu hujibiwa kipumbavu na mwerevu hujibiwa kiuelevu,kazi kwako mwalimu,mimi sina cha kupoteza
Huyu mama usingida unambeba.Nafikiri umenielewa maana ya "usingida"
 
Back
Top Bottom