Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mods Huwa hawaruhusuKapicha kake mkuu ...kapicha namanisha tumuone pengine sio kosa lake
Sio Mkurya kweli huyo..kale kawilaya kamebeba kila kabila na tabia zake zoote utazikuta paleMkuu mods Huwa hawaruhusu
Ni mtu wa SingidaSio Mkurya kweli huyo..kale kawilaya kamebeba kila kabila na tabia zake zoote utazikuta pale
Huyu mama Kwa jina maarufu la Tabu ni mke wa askari mmoja pale kituo cha polisi Bunda.Mazingira ya vp alipewa hiki cheo cha uratibu kata kila mtu huwa anajiuliza,anakosa majibu.Kiukweli kazi ya kusimamia kundi nyeti kama walimu inahitajika mtu mwenye busara sana tofauti na makando kando mengine.
Huyu mama kwenye misafara ya mitihani Huwa ni miongoni mwa viongozi wa misafara ya ugawaji mitihani.Amekuwa akiwatusi walimu na kuwakejeli huku akiwatishia kwamba atawaribia kazi Kwa mwajiri wao.
Pili uwezo wake kwenye presentation ni mdogo sana,hata kujibu hoja za kawaida za walimu kwenye discussion huwa hawezi zaidi ya kuishia kupanic.Walimu wa Sekondari wamezuiwa kuongea kiswahili kwenye vikao vya staff ila kwa huyu MEK kutokana na kutokujua kiingereza hata cha kuombea maji amekuwa akipiga mijadala yake myepesi Kwa kiswahili mwanzo mwisho.
Aliyewahi kuwa REO mkoa wa Mara Mr.Sembeye aliwahi kuhoji hadharani vigezo vipi vilitumika kumpa nafasi Ile huyu mama
Tunakuomba Afisa elimu (idara ya elimu sekondari)uondoe hiki kirusi kwenye halmashauri au mpangie majukumu mengine.She is a specialist of failure...
HaaahaaaKwa hiyo walimu wa sekondari kwenye vikao vyenu mnapasua mayai tu, mbona huku kitaa watoto wanaongea kizaramu tu, au ung'eng'e ni maalumu tu kwa ajili ya vikao vya staff baada ya hapo tunaendela na kingendereko.
Huyu mama usingida unambeba.Nafikiri umenielewa maana ya "usingida"Hawa watu ni kuwapa fucks , mimi mratibu wangu alileta mambo kama hayo,ooh dogo tulia,sisi ni wakubwa zako,hata sahau, nilimwambia mbele za wakubwa zake dogo mwenyewe na hauna maadili ya kazi wewe,huwezi niita dogo kama huwa una nilisha,kawaite dogo watu wa nyumbani kwako.Hadi leo hii ana niiheshimu sana.
Tatizo letu walimu wengi ni waoga,lakini mimi naamini mpumbavu hujibiwa kipumbavu na mwerevu hujibiwa kiuelevu,kazi kwako mwalimu,mimi sina cha kupoteza
Huyu mama usingida unambeba.Nafikiri umenielewa maana ya "usingida"
Bora mtoto wako awe dreva boda siyo hii kaziIla mwalimu hata awe profesa ule uoga hauwatoki sijui mkoje yani
Mnaogopeshwa sana na nyie mnakubali kuogopeshwa yani mlivyo wengi lakini bado mnayumbishwa kizembe, sasa afisa elimu kata nae ni mtu wa kumfungulia uzi kweli?Bora mtoto wako awe dreva boda siyo hii kazi
HaaaahaaaaaaaBado anavaa hijab [emoji23]