Mratibu Elimu kata ya Kabarimu wilayani Bunda anadhalilisha Walimu


"She is a specialist of failure..." 🤣🤣
 
Hawa watu ni kuwapa fucks , mimi mratibu wangu alileta mambo kama hayo,ooh dogo tulia,sisi ni wakubwa zako,hata sahau, nilimwambia mbele za wakubwa zake dogo mwenyewe na hauna maadili ya kazi wewe,huwezi niita dogo kama huwa una nilisha,kawaite dogo watu wa nyumbani kwako.Hadi leo hii ana niiheshimu sana.

Tatizo letu walimu wengi ni waoga,lakini mimi naamini mpumbavu hujibiwa kipumbavu na mwerevu hujibiwa kiuelevu,kazi kwako mwalimu,mimi sina cha kupoteza
 
Huyu mama usingida unambeba.Nafikiri umenielewa maana ya "usingida"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…