TANZIA Mratibu wa shughuli za mgombea ubunge jimbo la Sengerema amefariki dunia, adaiwa kulishwa Sumu

TANZIA Mratibu wa shughuli za mgombea ubunge jimbo la Sengerema amefariki dunia, adaiwa kulishwa Sumu

Punguani, Mbowe na genge lake wana genge la wahuni wa hatari.. Serikali ichukue hatua kali kwenye hili genge. Adui wa ndani ni hatari kuliko wa nje.
Mnachukua wake za watu na kudhulum pesa za watu wacha wawakomeshe.

Katibu mzima unakula makande saa kumi na mbili asubuhi. Ndio type zenu mnakuja huku mmevimbiwa
 
Jicho linaelekea katika jimbo la Sengerema lililopo wilayani Sengerema mkoani Mwanza jimbo ambalo kwa miaka kumi na tano liliongozwa na Ngereja kama mbunge Ila mwaka huu baada ya kura za maoni kuisha Chama cha Mapinduzi kilimpitisha mgombea Hamis Tabasam kuwa mgombea ubunge.

Katibu wa CCM kata ya Ibisabageni, Deogratias Medard na pia ni mratibu wa shughuli za mgombea ubunge jimbo la Sengerema amefariki dunia juzi J'tatu majira ya mchana alipokuwa njiani kuelekea kwenye mkutano wa kampeni kijiji cha Kagunga.

Kisa hiki kilitokea wakati marehemu Deo alipokuwa ameketi siti ya katikati kwenye gari la mgombea ubunge na akiwa na mgombea ubunge, mhasibu na wengine 2 pamoja na dereva.

Kabla ya kuanza safari hiyo Deogratias alitoka nyumbani na kufika kwenye ofisi za mgombea ubunge maeneo ya Sengerema Mjini karibu kabisa na stand ya mabasi kilipo kituo cha kujazia mafuta majira ya saa mbili asubuhi akiratibu shughuli za mikutano ya siku hiyo mida kati ya saa tatu mpaka saa nne asubuhi alikula chakula makande na chai iliyotoka kwenye mgahawa ulioko nyuma ya ofisi ya mgombea ubunge kwa mama maarufu kwa upikaji wa makande hayo.

Baada ya kumaliza kula walianza safari ya kuelekea kijiji cha kagungu na walipokaribia kufika kijiji cha tunyenye ndipo Deo alipoanza kulalamika tumbo linamuuma; gari likasimama na akaanza kutapika matapishi yenye harufu kali. Ndipo akakimbizwa kituo cha afya Tunyenye na kuwekewa drip mbili kwa wakati mmoja ila hali ikazidi kuwa mbaya, gari la mgombea liligeuza na kurudi mjini Sengerema na Deogratias Medard akawa amefariki dunia njiani
Poleni wafiwa. Ila kuwa mratibu hakukuzuii na kifo, hususani vifo vitokanavyo na magonjwa. Tusiongeze sintofahamu kwa mambo yasiyo na hakika.
 
Mambo ya kulishana sumu wanaCCM yalianza muda mrefu sana. Kuanzia kwa Kolimba, Membe mpaka Mangula. Ni sehemu ya utaratibu wa ndani kwa ndani ya CCM
 
Katibu mzima anakula makande kwa mama Ntilie wakati Polepole alisema wanatembea na 1Hz?

Siasa za kuuana sio siasa.. pole sana kwa familia ya mratibu.

Bashiru Ali na Polepole hawakupaswa kabisa kupewa uongozi ndani ya CCM. Wameanzisha Siasa za visasi na kuuana na kupandikiza chuki kwa kuhonga watu. Mfano Musiba kwa miaka mitano amekuwa akipandikiza Chuki kwenye Taifa hili na kuhamasisha siasa za kuua kama njia ya kuwamaliza wale wasiotakiwa.
Hii imesambaa na sasa matokeo yake ndio yanaonekana sasa.

CCM walidhani wakiwaangamiza wapinzani wao watakua salama.
Damu ya binadamu haiwezi kubadishwa na vitu. Kubadilisha damu ya mtu na kitu chochote ni ujambazi.
CCM kwa muda mrefu wamejificha na kukaa kimya damu za watu wasio na hatia zinapomwagwa .
Laana ya inayotoka kwa Mungu mwenyewe ziwaandame wote wanaopanga njama za kuua watu iwe kwa kuwanyima haki zao ili wakizidai wapigwa risasi au kwa kuua watu wasio na hatia. Wote hao ni waovu wanaosaka madaraka.
 
Jicho linaelekea katika jimbo la Sengerema lililopo wilayani Sengerema mkoani Mwanza jimbo ambalo kwa miaka kumi na tano liliongozwa na Ngereja kama mbunge Ila mwaka huu baada ya kura za maoni kuisha Chama cha Mapinduzi kilimpitisha mgombea Hamis Tabasam kuwa mgombea ubunge.

Katibu wa CCM kata ya Ibisabageni, Deogratias Medard na pia ni mratibu wa shughuli za mgombea ubunge jimbo la Sengerema amefariki dunia juzi J'tatu majira ya mchana alipokuwa njiani kuelekea kwenye mkutano wa kampeni kijiji cha Kagunga.

Kisa hiki kilitokea wakati marehemu Deo alipokuwa ameketi siti ya katikati kwenye gari la mgombea ubunge na akiwa na mgombea ubunge, mhasibu na wengine 2 pamoja na dereva.

Kabla ya kuanza safari hiyo Deogratias alitoka nyumbani na kufika kwenye ofisi za mgombea ubunge maeneo ya Sengerema Mjini karibu kabisa na stand ya mabasi kilipo kituo cha kujazia mafuta majira ya saa mbili asubuhi akiratibu shughuli za mikutano ya siku hiyo mida kati ya saa tatu mpaka saa nne asubuhi alikula chakula makande na chai iliyotoka kwenye mgahawa ulioko nyuma ya ofisi ya mgombea ubunge kwa mama maarufu kwa upikaji wa makande hayo.

Baada ya kumaliza kula walianza safari ya kuelekea kijiji cha kagungu na walipokaribia kufika kijiji cha tunyenye ndipo Deo alipoanza kulalamika tumbo linamuuma; gari likasimama na akaanza kutapika matapishi yenye harufu kali. Ndipo akakimbizwa kituo cha afya Tunyenye na kuwekewa drip mbili kwa wakati mmoja ila hali ikazidi kuwa mbaya, gari la mgombea liligeuza na kurudi mjini Sengerema na Deogratias Medard akawa amefariki dunia njiani.
View attachment 1609247
View attachment 1609269View attachment 1609270
Jnne mwili tuliutoa hospital ya misheni hapa Sengerema a na kuupeleka Bugando hospitali kwa ajili ya kuufanyia post-mortem na usiku wa jnne hiyo mwili tuliurudisha sengerema na jtano tukauzika.

Hadi sasa ni watu sita wameshahojiwa. Siku ya Jumatatu walikamatwa watu sita. Wawili wakaachiliwa Jumanne.

Mama mwenye Mgahawa na Wasaidizi wake, ni miongoni mwa watu waliokamatwa

=====

UPDATES:23 Oct 2020

======

Polisi Mwanza wanachunguza chanzo cha kifo cha Deogratias Meded(42) Mkazi wa Sengerema aliyefariki muda mfupi baada ya kudaiwa kula makande na chai akiwa kwenye Kampeni za Mgombea Ubunge Sengerema kwa Ticketi ya CCM, Hamis Tabasamu ambapo Marehemu alikuwa Meneja wa Kampeni wake.
Inasemekana makande yaliyolala ni hatari kuyala endapo hsyakuhifadhiwa vizuri hasa wakati huu wa joto huwa yanatengeneza bakiteria.
Food poisoning haihusu mtu kuweka sumu kwenye chakula ila ni bakiteria hujizaa kwenye chakula na hata ukikipasha moto bado wanakuwemo.
 
Ni kivipi katibu anaagiza chakula nje ya ofisi? Siku zote anakuka hapo?

Kama ni mauaji kama huu uzi unavyodai inawezekana ukahusiana na uchaguzi? Why not targetting a candidate? As kwa siasa za Tz haushindi kwakua una mratibu kampeni mzuri so obviously kumtoa mratibu kampeni kwenye equation hakutasababisha mgombea asishinde.

Anyway nitashangaa kama kuna mtu alimtarget mratibu kampeni akidhani inampunguzia nguvu mgombea.

Hii iwe case study kwa higher officials wanaozurura mitaani au kusimama kwenye kundi la raia na kupokea vyakula au zawadi.
 
Amekula oficeni chakula kimeletwa kutoka kilikopikwa ni nyuma tu ya office yao
 
Kwa mujibu wa yule mtoto wa mjomba alisema juzi wata mdunda sindano ya sumu TL safari hii hawata tumia sumu nadhani wameanza kujaribia sumu kwao
 
Makande ndio chakula cha kampeni kwa wanaccm wengi , chama chao hakijawapa hela hata noja
 
Back
Top Bottom