Mrejesho: Ahsante JF nimepata mwenza

Hayo mapungufu ujirekebishe sasa na ikiwezekana ukae nayo mbali kwani ukijisahau tu itakula kwako,huwa mnakuwa wapole mwanzoni ,pingu zikifungwa tu mnaanza vituko.Hongera sana,endelea kumtanguliza Mungu kwa kila jambo..
 
Hongera sana kwa kupata haja ya moyo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…