Mrejesho: Aliyeniambukiza UTI ameniambia kuwa naye anaumwa

Mrejesho: Aliyeniambukiza UTI ameniambia kuwa naye anaumwa

Wakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu😅😅. Tumieni Kinga wakuu!!!!
Bado unachezea bom kijana....
 

Attachments

  • downloadfile-6.jpg
    downloadfile-6.jpg
    155.2 KB · Views: 3
Daah nme
Apo sawa umefanya la maana na ungemchana tu kuwa ni ww umenipa koz wanaume ukigonga ndani ya siku chache inakua tayar so kujua ni

Apo sawa umefanya la maana na ungemchana tu kuwa ni ww umenipa koz wanaume ukigonga ndani ya siku chache inakua tayar so kujua ni easy aliekupa
nimetumia busara kaka sijamwambia kama kaniambukiza nimemsisitiza tu akapime
 
Wakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu😅😅. Tumieni Kinga wakuu!!!!
Kuwa na akili mwambie aende hospitali na mwambie kabisa ana dalili za kaswende ili ahamasike.
 
Back
Top Bottom