didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
- Thread starter
- #21
nmemwambia akapime UTI na malaria. Sijataka kua rudeKuwa na akili mwambie aende hospitali na mwambie kabisa ana dalili za kaswende ili ahamasike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nmemwambia akapime UTI na malaria. Sijataka kua rudeKuwa na akili mwambie aende hospitali na mwambie kabisa ana dalili za kaswende ili ahamasike.
Gono hauponi kwa Azuma🤣🤣🤣.litajua lenyew as long as azuma inatumika
Unataka kusema ameshaukwaa😂😂😂😂😂😂😂🐖🐖anakwenda peponi kamanda...
wewe nae unawaza umaarufu tu. Sa umaarufu utanisaidia nn?Mwamba umedhamiria hasa umaarufu wako JF iwe ni magonjwa ya zinaa.
haiwezekan hio mkuuUnataka kusema yamekwashaukwaa😂😂😂😂😂😂😂🐖🐖
Exactly 💯Hawa watoto wa siku hizi Gonorrhea wanaita UTI sugu![]()
Endelea kukusanya kaswende, tutacomment tu.wewe nae unawaza umaarufu tu. Sa umaarufu utanisaidia nn?
Ishini humu shauri zenu.Tumieni Kinga wakuu!