didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Bado unachezea bom kijana....Wakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu๐ ๐ . Tumieni Kinga wakuu!!!!
๐๐๐Bado unachezea bom kijana....
nicheki PM nikuelezeeKwani UTI sugu ni nini?
yah kaniweka kwenye chainHapo itakua kakuunga kwenye umeme.
All the best
litajua lenyew as long as azuma inatumikaHawa watoto wa siku hizi Gonorrhea wanaita UTI sugu
Mwambie mkuu utakuwa wa maana sana kuliko kuleta huku mkuuWakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu๐ ๐ . Tumieni Kinga wakuu!!!!
nmemwambia akapime malaria na UTIMwambie mkuu utakuwa wa maana sana kuliko kuleta huku mkuu
Yupi huyo?Wakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu๐ ๐ . Tumieni Kinga wakuu!!!!
Apo sawa umefanya la maana na ungemchana tu kuwa ni ww umenipa koz wanaume ukigonga ndani ya siku chache inakua tayar so kujua ni easy aliekupanmemwambia akapime malaria na UTI
Daah kwa hii mbanga na haya maumivu wakat wa kukojoa nimeongeza umakiniKuwa makini Kuna ukimwi mkuu
Apo sawa umefanya la maana na ungemchana tu kuwa ni ww umenipa koz wanaume ukigonga ndani ya siku chache inakua tayar so kujua ni
nimetumia busara kaka sijamwambia kama kaniambukiza nimemsisitiza tu akapimeApo sawa umefanya la maana na ungemchana tu kuwa ni ww umenipa koz wanaume ukigonga ndani ya siku chache inakua tayar so kujua ni easy aliekupa
Dem mmoja ni mwanasiasa sema siwez kumtaja hata kwa bundukiYupi huyo?
Itakua ni ile grade one kama ya Mwa J, ule mshangazi nginjanginja koma savar wa madale..๐คฃKwani UTI sugu ni nini?
Kuwa na akili mwambie aende hospitali na mwambie kabisa ana dalili za kaswende ili ahamasike.Wakuu yule msichana alieniambukiza UTI sugu kanicheki kasema na yeye anaumwa ila hataki kwenda hospital. Mimi nimevunga sijamwambia kwamba ana UTI sugu๐ ๐ . Tumieni Kinga wakuu!!!!
pole sanaDem mmoja ni mwanasiasa sema siwez kumtaja hata kwa bunduki