[emoji1][emoji1][emoji1] Sawa mkuuHiyo ilikuwa mwaka 47 Mkuu 2021 kitanda kinazaa mtoto asiye wa kwako. Haramu ni gumu kumuita kiumbe asiye na kosa lolote.
Unajua mpaka sasa nimeshazaa na wanawake wangapi?Yaani wewe unahangaika na mwanamke mmoja tu kisa Ana mimba. Mwanaume Kaletwa duniani ili azalishe Wanawake. Wastani mwanaume maishani hakikisha umetia mimba Wanawake 3 mpaka 10 ili ufanye uko kuongezeka na kuijiza Dunia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Mkuu bhanaSikutegemea kabisa swali kama hilo la kunihusisha na mrembo wako.
UNACHOKITAFUTA UTAKIPATANasubiri miezi mitatu mingine nikarudie kipimo.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] aisee mzee ulipotelea wapi? Nafasi yako ya kwanza kwenye kila Uzi ilikuwa imekosa mtu yani, au majukumu yakishakubana siyo?UNACHOKITAFUTA UTAKIPATA