grandMullah23m
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 245
- 331
Jamani nawaasa na kuwaomba chondechonde tuliheshimu jino. Jino limeniweka kwenye nusu kaput, umwamba wote, mafunzo yote ya kibabe niliyasahau[emoji119]
Nimeapa kuwa balozi mzuri kuhusu haya mambo:
[emoji117]Tuzingatie usafi wa kinywa siku zote maana haya mambo huwa yanaanza mdogomdogo kama mzaha.
[emoji117] Wenzangu mnaopiga zile bia mbili tatu(haswa zile za ofaa za kule kambini) tusisahau kusukutua hata kidogo na maji ya chumvi.
[emoji117] Kumbe sio bia tu...hata juisi tunazogida nyumbani...pamoja na akina energy...zoote hizo usisahau kusukutua na maji masafi mara baada ya kunywa.
[emoji117] HAKUNA DAWA YOYOTE MTAANI itakayotoa suluhu ya kuumwa jino...tofauti na kufika tu hospitalini na kupata matibabu (tuache kubeti na jino tafadhali, nilikuwa mbishi sana ila duh[emoji119] nimejikuta katikati ya uhai na kifo).
[emoji117] Tuache uoga kwenye kufwata matibabu...Kuna tofauti kati ya Dokta, Dakitari na Daktari....aheshimiwe sana huyu wa mwisho(Daktari).
[emoji117] Mwisho kabisa tujipende wenyewe na tuheshimu wake zetu [emoji18] nimepikiwa mtori na mke wangu na anapambania sana afya yangu...michepuko yote haisaidiagi ukifikia hapa....Mama chanja I promise..nimeacha hayo mambo[emoji119][emoji119]
Viva [emoji1241]
Nimeapa kuwa balozi mzuri kuhusu haya mambo:
[emoji117]Tuzingatie usafi wa kinywa siku zote maana haya mambo huwa yanaanza mdogomdogo kama mzaha.
[emoji117] Wenzangu mnaopiga zile bia mbili tatu(haswa zile za ofaa za kule kambini) tusisahau kusukutua hata kidogo na maji ya chumvi.
[emoji117] Kumbe sio bia tu...hata juisi tunazogida nyumbani...pamoja na akina energy...zoote hizo usisahau kusukutua na maji masafi mara baada ya kunywa.
[emoji117] HAKUNA DAWA YOYOTE MTAANI itakayotoa suluhu ya kuumwa jino...tofauti na kufika tu hospitalini na kupata matibabu (tuache kubeti na jino tafadhali, nilikuwa mbishi sana ila duh[emoji119] nimejikuta katikati ya uhai na kifo).
[emoji117] Tuache uoga kwenye kufwata matibabu...Kuna tofauti kati ya Dokta, Dakitari na Daktari....aheshimiwe sana huyu wa mwisho(Daktari).
[emoji117] Mwisho kabisa tujipende wenyewe na tuheshimu wake zetu [emoji18] nimepikiwa mtori na mke wangu na anapambania sana afya yangu...michepuko yote haisaidiagi ukifikia hapa....Mama chanja I promise..nimeacha hayo mambo[emoji119][emoji119]
Viva [emoji1241]