Mrejesho biashara ya madini 'third season'

Ipo haja ya kujua maeneo ya migodi kwenye mikoa tofauti, nna ambition ya kutembelea maeneo kabla sija settle sehemu, hii nimesha iwekea bajeti, nnajua na nimeshapitia baadhi katika mi,koa ya Tabora na Shinyanga, mwenye kuweza kuataja vitongoji vingine vya mikoa mingine, kama mbeya na mpanda nk, tafadhali.
 
Singida ,dodoma, kilindi kuna dhahabu pia..vika na huko.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tatizo nnaloliona mimi kwa muwekezaji ni uchimbaji, ukiwa mchimbaji michirizi inasumbua sana mara ipo mara haipo, afu maponcha wenyewe hawapo sirias, time yoyote akijisikia kuhama ana hama, bora kua na vifaa nakuwafanyia kazi watu kufukuzia kifusi, ndio maana naona umuhimu wa kutembelea maeneo kuona wapi kuna shortage ya vifaa.
 
Njoo geita kuna sehemu moja mpya
 
Hongera, Una connection na watu wanaouza madawa ya kulipua?
 
Sawa tunasubiri hiyo ripoti ya KUPIKWA, hahahaa (jokes)
 
Mbeya Chunya yote wanachimba kuanzia mlima njiwa, sangawale, mapogoro, mbigwa, makatang'ombe, itumbi, matondo, makongolosi, matundas, mkwajuni mpaka saza karibu na ziwa Lukwa etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…