Mrejesho; Biashara ya madini ya dhahabu... fourth season

how
 
Nataka kujua wakati unaanza ulikiwa na vibali vyote vya kuwa broker au ulianza kibishi tu ukatafuta vibali baadae
 
Nataka kujua wakati unaanza ulikiwa na vibali vyote vya kuwa broker au ulianza kibishi tu ukatafuta vibali baadae

Simjibii ila unaweza kuanza either way. Ni vyema ukatafuta vibali kwanza ila unaweza kuanza either way ni bongo sio mbele huko.
 
habari kiongozi. upo sahihi lakini haupo sahihi
 
Una upiga mwingi mpaka una mwagika
 
Nataka kujua wakati unaanza ulikiwa na vibali vyote vya kuwa broker au ulianza kibishi tu ukatafuta vibali baadae
Mkuu ilibidi nitafute kwanza maana nilijaribu kidogo tu kabla ila wale waliokuwa wanajiona magwiji walinipiga bit na kutishia kuniitia police

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Nakubali, I wish nami nipate muda niletee season yangu ktk hii sekta. Hela ya dhahabu ni tamu vby mno....
 
Binafsi nilianza na mtaji WA laki 5 chimbo Moja mkoani Shy,
Week ya Kwanza ya biashara nilipata faida ya gramu nzima kabla sijaenda jikoni kuchimba.

Siku nilipoenda kuchoma nikaibiwa gramu nzima na hasara ,pesa ikappungua

Nili-last 2 months kwenye business nikapotea

Najipanga tena wakati ujao nirudi kwenye game kwakuwa nimejifunza vitu vingi na makosa nilivyofanya..
 
Ulijuaje jikoni umeibiwa gram 1 hadi ukaamua kusema hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…