OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Huu uzi Ni wa kuweka kambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kuchoma nilipima uzito kwenye ofisi ya madini,baada ya kuchoma nilipima tena ikawa imepungua mbali mnoUlijuaje jikoni umeibiwa gram 1 hadi ukaamua kusema hivyo?
Hii Tanga wizi?Hii hapa purity yake 97%
Kwa week mm kupata grm 80 kitu cha kawaida kutokana na mitego yangu
Wale wakatao omba connection wasubirie kidogo maana bado kwanza
Namfukuza mwizi kmya kmya
Ova
View attachment 2334804View attachment 2334805
Hiyo dhahabu mkuu, purely goldHii Tanga wizi?
Tuletee tujifunze zaidi na pia tuhamasike kuingia kwenye sekta hii. In fact binafsi nataka nijifunze kutoka kwa WALIOFANIKIWA! Nasubiri mrejesho wako vidmate! Ubarikiwe.Nakubali, I wish nami nipate muda niletee season yangu ktk hii sekta. Hela ya dhahabu ni tamu vby mno....
Upo sahihi mkuu,na mara nyingi maboss hukimbilia kusema mkemia kazingua.Nauliza vipi ukadirie kupata 2kg wakati ppm ilisoma 3.5? Kama nipo sawa ulikuwa na wastani wa 300tons za mchanga ambazo kutokana na ppm iliyosoma labda ungepata wastani wa 1kg, Naomba nisahihishe kama nimekosea.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Nauliza vipi ukadirie kupata 2kg wakati ppm ilisoma 3.5? Kama nipo sawa ulikuwa na wastani wa 300tons za mchanga ambazo kutokana na ppm iliyosoma labda ungepata wastani wa 1kg, Naomba nisahihishe kama nimekosea.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Ni kwema wakuu habar za siku tupeane location wapi tufunge karasha maana huku shilalo Kwa SASA njaa ni Kali, material adimu ,Kwa SASA gharama za uendeshaji ni mtiti bin mufilisTimoth93, raslimali, okey, klinbritetz, Luck Good, CHIEF MASALAKULANGWA, Red Giant, Danpol, Hon Nkundwe, Napoleone, Nasibunduki, dungula, Jibala, mkuje wakuu
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ni kwema wakuu habar za siku tupeane location wapi tufunge karasha maana huku shilalo Kwa SASA njaa ni Kali, material adimu ,Kwa SASA gharama za uendeshaji ni mtiti bin mufilis
1) Je , ni kweli kuwa 'carbon' ipo feki? If YES, carbon genuine au feki naitambuaje?
2) Je, ni kweli kuwa wauzaji carbon huuza carbon used kwa udanganyifu? i.e. used carbon 'inaoshwa' kisha wanarebag na kuiuza as 'new'. Naamanisha mteja anaaminishwa carbon ni 'mpya' lakini kumbe ni used.
3) Brand za carbon zipo nyingi. Je, kwasasa, ni kampuni gani ya cabon ambayo ni the best?
4) Je, cyanide nayo pia ina ufeki feki kwenye soko? If yes, feki naitambuaje? na brand gani ni the best?
5) Je, ni kweli kuwa kwenye Vat leaching plant hufanyika uhuni (kimagumashi) wa kubakisha dhahabu kwenye kapi? If yes, wanafanyafanyaje?
6) At Elution Plant, Je ni kweli kuwa jikoni ndipo pana uhuni mwingi Sana ili kuiba dhahabu ya mteja? Dhahabu baadhi kubakia kwenye mfumo wa uchomaji. Inasemekana wanaingiza (kiharamu) steel wires mle ndani ya pipes ili kuiba dhahabu ya mteja. Hili lipoje?
7) Maji ya kuoshea/kusafishia dhahabu (sokoni). Je ni kweli kuwa kuna Maji feki wanatumia wanunuaji wahuni ili kuishusha 'purity' ya dhahabu?
8) Kuanzia ''Vat leaching plant (kuozesha)'' hadi "Elution Plant (jikoni/jikoni)" hadi sokoni (kuuza dhahabu)... kwa mtu ambaye ni mgeni kabisa kwenye game anaenda mara ya kwanza (totally BEGINNER), azingatie na ajisimamie kwenye mambo gani ili 'asipigwe'?
Cc: Bufa , mcrounmj , Nasibunduki , Nizhneserginsky , Kiduila , Mwanamaji , mrangi .
-Kaveli-
Mkuu, hapa ndo natamani JF ingekua na sehemu ya voice note ningekujibu kwa kina maana nikisema nijibu yote haya kwa maandishi itabidi nitafute muda nitulie kuandika.
In a nutshell, hii biashara inahitaji kujuana, usimamizi na uaminifu wa hali ya juu. Any mistake has no reverse unakula hasara maradufu. Wapigaji ni wengi kuliko waaminifu japo waaminifu wapo. The more you have control of the processing chain the better.
Ni maswali muhimu sana inabidi yafanyiwe utafiti wa kina, kwa dunia ya leo ni kuwa makini, au kama kweli mtu anataka kuwekeza huko ni kuwa na plant yako mwenyewe.
Ngoja nijaribu kukujibu kwa vitu vichache kulingana uelewa wangu,1) Je , ni kweli kuwa 'carbon' ipo feki? If YES, carbon genuine au feki naitambuaje?
2) Je, ni kweli kuwa wauzaji carbon huuza carbon used kwa udanganyifu? i.e. used carbon 'inaoshwa' kisha wanarebag na kuiuza as 'new'. Naamanisha mteja anaaminishwa carbon ni 'mpya' lakini kumbe ni used.
3) Brand za carbon zipo nyingi. Je, kwasasa, ni kampuni gani ya cabon ambayo ni the best?
4) Je, cyanide nayo pia ina ufeki feki kwenye soko? If yes, feki naitambuaje? na brand gani ni the best?
5) Je, ni kweli kuwa kwenye Vat leaching plant hufanyika uhuni (kimagumashi) wa kubakisha dhahabu kwenye kapi? If yes, wanafanyafanyaje?
6) At Elution Plant, Je ni kweli kuwa jikoni ndipo pana uhuni mwingi Sana ili kuiba dhahabu ya mteja? Dhahabu baadhi kubakia kwenye mfumo wa uchomaji. Inasemekana wanaingiza (kiharamu) steel wires mle ndani ya pipes ili kuiba dhahabu ya mteja. Hili lipoje?
7) Maji ya kuoshea/kusafishia dhahabu (sokoni). Je ni kweli kuwa kuna Maji feki wanatumia wanunuaji wahuni ili kuishusha 'purity' ya dhahabu?
8) Kuanzia ''Vat leaching plant (kuozesha)'' hadi "Elution Plant (jikoni/jikoni)" hadi sokoni (kuuza dhahabu)... kwa mtu ambaye ni mgeni kabisa kwenye game anaenda mara ya kwanza (totally BEGINNER), azingatie na ajisimamie kwenye mambo gani ili 'asipigwe'?
Cc: Bufa , mcrounmj , Nasibunduki , Nizhneserginsky , Kiduila , Mwanamaji , mrangi .
-Kaveli-
Ukienda kuozesha marudio Kama unakodi plant hakikisha unatumia mkemia wako ili asiache dhahabu kwenye kapi,jitahidi wakati anafanya colour test unakuwepo asikate tanks bila kupima hapo itamsaidia kuvuna dhahabu yote kawaida kwenye kapi lazima dhahabu ibakie so ilibakia 0.4 ppm sio mbaya1) Je , ni kweli kuwa 'carbon' ipo feki? If YES, carbon genuine au feki naitambuaje?
2) Je, ni kweli kuwa wauzaji carbon huuza carbon used kwa udanganyifu? i.e. used carbon 'inaoshwa' kisha wanarebag na kuiuza as 'new'. Naamanisha mteja anaaminishwa carbon ni 'mpya' lakini kumbe ni used.
3) Brand za carbon zipo nyingi. Je, kwasasa, ni kampuni gani ya cabon ambayo ni the best?
4) Je, cyanide nayo pia ina ufeki feki kwenye soko? If yes, feki naitambuaje? na brand gani ni the best?
5) Je, ni kweli kuwa kwenye Vat leaching plant hufanyika uhuni (kimagumashi) wa kubakisha dhahabu kwenye kapi? If yes, wanafanyafanyaje?
6) At Elution Plant, Je ni kweli kuwa jikoni ndipo pana uhuni mwingi Sana ili kuiba dhahabu ya mteja? Dhahabu baadhi kubakia kwenye mfumo wa uchomaji. Inasemekana wanaingiza (kiharamu) steel wires mle ndani ya pipes ili kuiba dhahabu ya mteja. Hili lipoje?
7) Maji ya kuoshea/kusafishia dhahabu (sokoni). Je ni kweli kuwa kuna Maji feki wanatumia wanunuaji wahuni ili kuishusha 'purity' ya dhahabu?
8) Kuanzia ''Vat leaching plant (kuozesha)'' hadi "Elution Plant (jikoni/jikoni)" hadi sokoni (kuuza dhahabu)... kwa mtu ambaye ni mgeni kabisa kwenye game anaenda mara ya kwanza (totally BEGINNER), azingatie na ajisimamie kwenye mambo gani ili 'asipigwe'?
Cc: Bufa , mcrounmj , Nasibunduki , Nizhneserginsky , Kiduila , Mwanamaji , mrangi .
-Kaveli-