Mrejesho: Binti aliyekataa kutoka Geto ametoka

Mrejesho: Binti aliyekataa kutoka Geto ametoka

DMCT

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
2,276
Reaction score
5,937
Wakuu salute.... Nimekuja humu nilikuwa na shida ya demu wangu kung'ang'ania geto toka jana.. Nashkuru wadau mmenpa ushauri amekubali kuondoka nimemueleza umuhm wa shule na kumwmbia kuwa nampenda tamuoa mda ukifika kinyonge sana amekubali kwenda home japo sijui kama hatarudishwa.... NIMEKOMA NA SIRUDII TENA..
 
Majibu yakitoka lazima utarudia mtihani
 
Wakuu salute.... Nimekuja humu nilikuwa na shida ya demu wangu kung'ang'ania geto toka jana.. Nashkuru wadau mmenpa ushauri amekubali kuondoka nimemueleza umuhm wa shule na kumwmbia kuwa nampenda tamuoa mda ukifika kinyonge sana amekubali kwenda home japo sijui kama hatarudishwa.... NIMEKOMA NA SIRUDII TENA..

Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaah! Siku moja tu umetoka jasho je ingekutokea ishu kama yangu si ungekimbia geto [emoji855][emoji855][emoji855]
 
Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaah! Siku moja tu umetoka jasho je ingekutokea ishu kama yangu si ungekimbia geto [emoji855][emoji855][emoji855]
Mkuu we acha tu....
 
Nasisitiza mwandiko mkuu ANDIKA VIZURI
 
ha ha hakuna kitu kama hicho
hebu angalia avatar ya mweka mada.. bora ukaja kwangu ila tatizo hautatoka bila ka pregnant ikiwa kama ushahidi na historia iliyo namatokeo ya aina yake mbele yatakayokonga nyoyo za wafuatiliaji!
 
hebu angalia avatar ya mweka mada.. bora ukaja kwangu ila tatizo hautatoka bila ka pregnant ikiwa kama ushahidi na historia iliyo namatokeo ya aina yake mbele yatakayokonga nyoyo za wafuatiliaji!
me siji
 
Back
Top Bottom