Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafikiri huwa mnasemaje..? hivyohivyo lkn chaajabu watz tupo millio 40 na kenda! sijui wameongezekaje! anajua adam na eva😱me siji
Ha haa! Soko lenu limepungua. Nyie hamchelewi kututangaza kuwa tuna vibamia...hongera siku nyingine tuchukue wakubwa wenzio wewe
Unamaneno weweunafikiri huwa mnasemaje..? hivyohivyo lkn chaajabu watz tupo millio 40 na kenda! sijui wameongezekaje! anajua adam na eva😱
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha haa! Soko lenu limepungua. Nyie hamchelewi kututangaza kuwa tuna vibamia...
tukikaa kimya "madomo zege" tukiongea tuna maneno!! duh!Unamaneno wewe
AseeeWakuu salute.... Nimekuja humu nilikuwa na shida ya demu wangu kung'ang'ania geto toka jana.. Nashkuru wadau mmenpa ushauri amekubali kuondoka nimemueleza umuhm wa shule na kumwmbia kuwa nampenda tamuoa mda ukifika kinyonge sana amekubali kwenda home japo sijui kama hatarudishwa.... NIMEKOMA NA SIRUDII TENA..