Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Nicheki 0714883861 nikuongezee idea inayoweza kukuongezea kipato
Nicheki 0714883861 nikuongezee idea inayoweza kukuongezea kipato
Habari Wakuu?
Nilikuja hapa jukwaani 29.04.2014 na kuomba msaada wa wazo la biashara.
Nashukuru wote mlio changia, kwani May Katikati nilianza kununua pens na daftari & stationaries zingine na kuuza chuoni.
Hivi ninazungumza nina mtaji wa sh. milion moja na laki sita na nazidi kutafuta fursa za kuwekeza kusonga mbele.
Ahsante sana Bulldog, King Octavian, Mama Joe, delly, Mbunda E, Coping Strategy, maringeni Na Exorcist na wengine wote mlio changia chochote pale, Mungu awabariki.
Msinichoke nikija kuomba msaada wa mawazo zaidi.
VIVA JF!!
Ahsante dada flora msoffe
Nicheki 0714883861 nikuongezee idea inayoweza kukuongezea kipato
Nicheki 0714883861 nikuongezee idea inayoweza kukuongezea kipato
Ndio JF Senior Expert Member hao kazi yao. Huyo Kigogo ana posts 16,910 hivi unafikiri kazipataje? Kazi yao ndio hiyo mitusi na kuchangia kila post hata kama hana cha kuchangia cha kujenga anaharibu. Watu makini kama Malila wanaokuja kutoa mawazo ya kujenga humu chunguza tarehe walizojoin JF na idadi ya posts zao utaelewa.Ahsante mkuu Kigogo, hizi ndizo akili amekupa mwenyez Mungu,na nikikulaumu nitakuwa nakufuru.
Jaribu basi hata kusoma mada kabla ya kuchangia.
ubarikiwe.
Mungu hatoi akili kama za Kigogo usimsingizie
mtu kama huyu ni wakumpuuza tu