Weera weraaaa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 740
- 657
Habari Wakuu?
Nilikuja hapa jukwaani 29.04.2014 na kuomba msaada wa wazo la biashara.
Nashukuru wote mlio changia, kwani May Katikati nilianza kununua pens na daftari & stationaries zingine na kuuza chuoni.
Hivi ninazungumza nina mtaji wa sh. milion moja na laki sita na nazidi kutafuta fursa za kuwekeza kusonga mbele.
Ahsante sana Bulldog, King Octavian, Mama Joe, delly, Mbunda E, Coping Strategy, maringeni Na Exorcist na wengine wote mlio changia chochote pale, Mungu awabariki.
Msinichoke nikija kuomba msaada wa mawazo zaidi.
VIVA JF!!
Nilikuja hapa jukwaani 29.04.2014 na kuomba msaada wa wazo la biashara.
Nashukuru wote mlio changia, kwani May Katikati nilianza kununua pens na daftari & stationaries zingine na kuuza chuoni.
Hivi ninazungumza nina mtaji wa sh. milion moja na laki sita na nazidi kutafuta fursa za kuwekeza kusonga mbele.
Ahsante sana Bulldog, King Octavian, Mama Joe, delly, Mbunda E, Coping Strategy, maringeni Na Exorcist na wengine wote mlio changia chochote pale, Mungu awabariki.
Msinichoke nikija kuomba msaada wa mawazo zaidi.
VIVA JF!!