Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,049
- Thread starter
-
- #61
Mawazo ganiKwa mawazo aya kazi ipo
Serikali itaingilia kati sasaNimefuatilia thread zote za Ontario na Forex yake na nimegundua yafuatayo.
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Sijaona manyoya badoUkiona manyoya ujue kaliwa
Hapana[emoji38][emoji38][emoji38]. Unachokoza watu
Hongera kwa mrejeshoMkuu usiamushe walio lala waache....ngoja tuchote pesa tutawaajili week hii binafsi nimelala na 250$ kutok kweny mtaji wangu Wa 200$
Hakuna haja ya mrejesho....nyie hamuiamini forex alafu kila siku mnataka mirejesho? chakufanya ni kufanya kama hujawahi kuisikia alafu endelea na michakato mingineKijana mdogo @Ontorio aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbali mbali wazee kqa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.
Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.
Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Nataraji kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.
Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.
Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontorio.
Mkuu wala usibadilike baki hvohvo ukiamini Forex Ni utapeli!!!!hata mm wamenitapeli kwan week peeke Ni faida ya 250$ kutok mtaji wangu Wa 200$Nimefuatilia thread zote za Ontario na Forex yake na nimegundua yafuatayo.
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Kijana mdogo @Ontorio aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbali mbali wazee kqa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.
Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.
Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Nataraji kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.
Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.
Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontorio.
NdiyoImekulipa?
serious..Mkuu tunaugulia kimyakimya hayakuhusu
Wewe siyo mnafikiWe mleta mada ni mnafiki we unasema umeudhuria training ya arusha inakuaje ushindwe kuamin kama forex inalipa au hailipi wakat kila training zinahusisha kutrade kwa pamoja na walimu wanakupa maelekezo
Asante kwa ushauriKuna jamaa yangu mmoja ni Mzimbabwe ..anacheza hyo kitu..anasema currency now zina fluctuate sana..ni bora kusubili adi November, au december
Ila Nina uhakika hukuhudhuria training kuwa muwazi kila training unatakiwa kuwa na real account na mwisho huwa wanatrade pamoja live chini ya maelekezo ya mentor kama ulihudhuria usingesema bado hujaanza kutrade ila umeudhuria mafunzo huu ni uwongoAsante kwa ushauri
Yeye sio wale wengiMleta mada ni kilaza kwanini hizo doubts hukuclear Kwenye training ,yani wewe ni kichaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] acha vituko mkuuKuna jamaa yangu mmoja ni Mzimbabwe ..anacheza hyo kitu..anasema currency now zina fluctuate sana..ni bora kusubili adi November, au december