sir mweli
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 495
- 573
Dear arsenal,
Nashkuru sana kwa kukubali mwaliko wa kuja kuchukua zawadi yako ya nafasi ya sita. Kama nilivyokwisha kusema mwanzoni kuwa nafasi hii nilipewa na kuambiwa niitunze paka nitakapompata mwaminifu kama mimi nimpatie, hatimaye nikakupata wewe. Natumai utaitunza paka mwisho wa msimu.
Nikutakie mafanikio mema katika safari yako ya kukaa benchi msimu ujao ukitutazama tukicheza UEFA mwakani.
Wako mpendwa
Manchester United à. k. a kidume.
Nashkuru sana kwa kukubali mwaliko wa kuja kuchukua zawadi yako ya nafasi ya sita. Kama nilivyokwisha kusema mwanzoni kuwa nafasi hii nilipewa na kuambiwa niitunze paka nitakapompata mwaminifu kama mimi nimpatie, hatimaye nikakupata wewe. Natumai utaitunza paka mwisho wa msimu.
Nikutakie mafanikio mema katika safari yako ya kukaa benchi msimu ujao ukitutazama tukicheza UEFA mwakani.
Wako mpendwa
Manchester United à. k. a kidume.