Mrejesho: Hatimaye nimeanza kung'aa kisawa sawa

Tena nadhani wamefanya reparking kwa ajili ya soko la Tanzania ambalo limepiga marufuku hydroquinone, sidhani kama TFDA huwa wanazipima content hzo lotion
 
Natamani kuelewa tofauti ya kung'aa na kujichubua..... Kwa uelewa wangu kung'aa ni subset ya kujichubua.


Unatumia lotion unang'aa kwa siku 5..... This is very serious.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha wee
 
Haunywi vidonge kweli wewe? Usije ukawa unachanganya mambo!
 
Picha Pls
 
kabisa kabisa na ushahidi na walotumia na wakawa hivyo
 
Bila picha huu uzi hatuwezi kuuelewa..picha basi hata ya mikono

Hicho ndio kitu cha msingi mkuu,tutaamini vipi kuwa anang'aa bila kuona picha kumbe mtu kapauka kama embe bolibo halafu yeye anadai eti kang'aa
 
Mi Natumia Vaseline Lotion ile ya rangi ya Ugoro Sabuni Natumia Alovela Soap Nanawia Naacha kama Dakika tano yani Sina Gharama Uso Uko Soft tu Nawashauli vitu vya Bei Ndogo kumbe Ndo Vizuri Jamani Zamani Nilikuwa Natumia Vipodozi Vya Bei Saana hata Uso Unakosa Mvuto Nimejalibu Kukopy ili Nitume Humu Imekataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…