Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazungumzia Creme inayoitwa jina gani? Nimefuatilia kwenye uzi sijaona jina la creme inayozungumziwa......Dada angu yaani mara mia ungepaka ata carolight kuliko hiyo lotion mwanzo utang'a a sana kama ulivyo hvo ila subir ukate mwezi utajuta kutumia hyo creme. Kwanza utatoka chunusi kubwa kama majibu.
Pili white spots zitakujaa miguun, tatu ni creme yenye hydroquinon nyingi sana japo kwenye kopo lake wameandika "with no hydroquinon" .. ushaur wangu achana nayo mara moja tafuta lotion nzuri ambayo haina kemikali.
Tofauti yake ni kama rushwa na takrima yani maana ile ile ila unapunguza ukali kidogoNatamani kuelewa tofauti ya kung'aa na kujichubua..... Kwa uelewa wangu kung'aa ni subset ya kujichubua.
Unatumia lotion unang'aa kwa siku 5..... This is very serious.😂😂😂😂
Ujasoma vizuri bhana,basi kama ni mweupe sana tumia haya ni mazurinimeona hiii inakupa weupe wa kiarabu si itakuwa inachubua hapa penyewe ni mweupe pee nitaharibika
Ujasoma vizuri bhana,basi kama ni mweupe sana tumia haya ni mazuri View attachment 1471116
Mtoa mada kaitaja mbonaUnazungumzia Creme inayoitwa jina gani? Nimefuatilia kwenye uzi sijaona jina la creme inayozungumziwa......
Zinapatikana wapi hizo sabuniMimi natumia perfect white lotion na sabuni wako vizuri[emoji39]
Nikitumia full set nakua kama kina jojo
sabuni unatumia sabuni gani?sijutii kupaka parachute nimekuwa na ngozi km mtoto mchang very soft alf haters wakiulza napaka nini nikiwmbia parachute wanasema nawadangnya [emoji3]
vipi bado unang'aaMi Natumia Vaseline Lotion ile ya rangi ya Ugoro Sabuni Natumia Alovela Soap Nanawia Naacha kama Dakika tano yani Sina Gharama Uso Uko Soft tu Nawashauli vitu vya Bei Ndogo kumbe Ndo Vizuri Jamani Zamani Nilikuwa Natumia Vipodozi Vya Bei Saana hata Uso Unakosa Mvuto Nimejalibu Kukopy ili Nitume Humu Imekataa
hatari sana.full kunga'aaPerfect niliwah kutumia miaka miwili nyuma, yaan baada ya siku 3 tu nikawa mweupe hatari nikaogopa nikaacha, ina chubua hatari.
Sasa hivi napaka glycerine ya movit, ni nzuri unakuwa naturally, lainii na ngozi inateleza kama ya mtoto.
zinapatikana wapi hizo sabuni
jojo ndo nani?maduka yote ya vipodozi
Jamaasabuni unatumia sabuni gani?
vipi una uzoefu nao?perfect white inafurahisha mwanzoni baadae utapata mba n.a. utangotango kama wote....vikikutoka nitafute nikwambie dawa ha ha ha
umetumia kwa muda gani?Mimi natumia perfect white lotion na sabuni wako vizuri[emoji39]
Nikitumia full set nakua kama kina jojo
Jinsia yako tafadhari me/ke or bothWife kapendeza sana alinambia nimtafutie haya mafuta