Mrejesho: Hatimaye nimeanza kung'aa kisawa sawa

Dah, shida zote hizi ni kwaajili ya mabaharia tu. Alafu wenyewe wakobize na chura
 
Unazungumzia Creme inayoitwa jina gani? Nimefuatilia kwenye uzi sijaona jina la creme inayozungumziwa......
 
Natamani kuelewa tofauti ya kung'aa na kujichubua..... Kwa uelewa wangu kung'aa ni subset ya kujichubua.


Unatumia lotion unang'aa kwa siku 5..... This is very serious.😂😂😂😂
Tofauti yake ni kama rushwa na takrima yani maana ile ile ila unapunguza ukali kidogo
 
vipi bado unang'aa
 
Perfect niliwah kutumia miaka miwili nyuma, yaan baada ya siku 3 tu nikawa mweupe hatari nikaogopa nikaacha, ina chubua hatari.
Sasa hivi napaka glycerine ya movit, ni nzuri unakuwa naturally, lainii na ngozi inateleza kama ya mtoto.
hatari sana.full kunga'aa
 
Delicious ndio mleta mada?
[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…