Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mgonjwa aliekuwa anaomba msaada kageuka kuwa dokta, maajabu pekee yanayopatikana ktk ardhi ya tz😁Salute sana watumiaji wenzangu wa jamiiforum aka wanamember...
Nilileta uzi huu hapa nikizungumzia mateso niliyokua napata ya fungus za sehemu za siri nilivyokua nateseka
Niliteseka sana na hizi fungus nilikua nawashwa na uume na sehemu nyingine mwilini hadi nilikua nashindwa kukaa mbele za watuTatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake
Wakuu, Tunaomba ushauri wenu, kwa wale ambao specialists wa magonjwa haya ya ngozi. Tunauliza hivi kwa niaba ya watu wengi ambao wamekuwa wanahangaika kupata suluhu ya matatizo haya ya Mba, Fangasi na mabaka (hasa kwenye sehemu za siri, yakiwemo mapaja). Shukrani Tafadhari tunaomba ushauri...www.jamiiforums.com
Usiku ilikua balaa unawashwa mpaka unahisi kuna labda wadudu wanapita ndani ya uume wakitekenya huko....
Nilifanya hivi kupona;'-
Kwanza nilielewa hadi nichukue dawa ya meno ya colgate kidogo tu nichanganye na maji ya limao au ndimu kijiko kimoja nilichanganya niliambiwa nipake kwenye uume...Kwanza ukipaka inauma sana kwa sekunde tano kisha panapoa hii nilitumia nilipata nafuu usiku huo tu kesho maumivu yalirudi...
NJIA SAHIHI ILIYONIPONYESHA MOJA KWA MOJA NI HII:---
Tangawizi mbichi na limao
Unachukua tangawizi mbichi kipande kikubwa unaosha vizuri....Unaparua kisha unaponda,au kama una blenda unasaga baada ya hapo....unachukua hiyo tangawizi ulokwisha kuiponda unachanganya na maji kikombe moja cha chai au glass moja ndogo unakamulia huko na limao kipande moja au limao zima kisha unakunywa hiyo juice yako yote unakunywa pamoja na yale machicha ya tangawizi bila kuyamwaga....
Kunywa glass moja asubuhi na moja usiku kabla ya kulala....fanya hivyo kila siku kwa siku 5 mpaka 7 utakuja kunipa mrejesho
Mimi hii juice nilivyokunywa day one tu nilianza kuona nafuu kubwa kwani muwasho ulianza kuisha baada ya siku 3 fungus hizo kwisha kabisa...
Niliendelea kunywa hivyo asubuhi na jioni kwa siku kumi mfululizo ijapo....
Sasa hivi nimepona kabisa
Tangawizi ina faida kubwa kiafya sana si tu inatibu fungus,inatibu matatizo mengi sana..namimi toka nilipomaliza dozi ya tatizo langu hilo niliamua kutoiacha tangawizi huwa nakunywa glass moja ya juice ya tangawizi kila siku.....
Jaribuni mtakuja kunipa mrejesho.....
Kwani kuna tatizo mkuu alivyotoa na feedback alifanyaje?mgonjwa aliekuwa anaomba msaada kageuka kuwa dokta, maajabu pekee yanayopatikana ktk ardhi ya tz[emoji16]
Ndgudgu yangu nateseka sana na fangasi, naenda kununua tangawizi na limao za kutosha...ntajitahidi nifanye kama ulivyoelekezaSalute sana watumiaji wenzangu wa jamiiforum aka wanamember...
Nilileta uzi huu hapa nikizungumzia mateso niliyokua napata ya fungus za sehemu za siri nilivyokua nateseka
Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake
Wakuu, Tunaomba ushauri wenu, kwa wale ambao specialists wa magonjwa haya ya ngozi. Tunauliza hivi kwa niaba ya watu wengi ambao wamekuwa wanahangaika kupata suluhu ya matatizo haya ya Mba, Fangasi na mabaka (hasa kwenye sehemu za siri, yakiwemo mapaja). Shukrani Tafadhari tunaomba ushauri...www.jamiiforums.com
Niliteseka sana na hizi fungus nilikua nawashwa na uume na sehemu nyingine mwilini hadi nilikua nashindwa kukaa mbele za watu
Usiku ilikua balaa unawashwa mpaka unahisi kuna labda wadudu wanapita ndani ya uume wakitekenya huko....
Nilifanya hivi kupona;'-
Kwanza nilielewa hadi nichukue dawa ya meno ya colgate kidogo tu nichanganye na maji ya limao au ndimu kijiko kimoja nilichanganya niliambiwa nipake kwenye uume...Kwanza ukipaka inauma sana kwa sekunde tano kisha panapoa hii nilitumia nilipata nafuu usiku huo tu kesho maumivu yalirudi...
NJIA SAHIHI ILIYONIPONYESHA MOJA KWA MOJA NI HII:---
Tangawizi mbichi na limao
Unachukua tangawizi mbichi kipande kikubwa unaosha vizuri....Unaparua kisha unaponda,au kama una blenda unasaga baada ya hapo....unachukua hiyo tangawizi ulokwisha kuiponda unachanganya na maji kikombe moja cha chai au glass moja ndogo unakamulia huko na limao kipande moja au limao zima kisha unakunywa hiyo juice yako yote unakunywa pamoja na yale machicha ya tangawizi bila kuyamwaga....
Kunywa glass moja asubuhi na moja usiku kabla ya kulala....fanya hivyo kila siku kwa siku 5 mpaka 7 utakuja kunipa mrejesho
Mimi hii juice nilivyokunywa day one tu nilianza kuona nafuu kubwa kwani muwasho ulianza kuisha baada ya siku 3 fungus hizo kwisha kabisa...
Niliendelea kunywa hivyo asubuhi na jioni kwa siku kumi mfululizo ijapo....
Sasa hivi nimepona kabisa
Tangawizi ina faida kubwa kiafya sana si tu inatibu fungus,inatibu matatizo mengi sana..namimi toka nilipomaliza dozi ya tatizo langu hilo niliamua kutoiacha tangawizi huwa nakunywa glass moja ya juice ya tangawizi kila siku.....
Jaribuni mtakuja kunipa mrejesho.....