Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
ndio..nimempata humuhumuWewe vipi au tayari unae
Weka bandiko tuje pm mkuuHeeeeee......hongera na sie tutafutieni
Few daysUmetumia mda gani hadi kumpata na kuridhika nae!?
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Huwezi jua labda mwenzio anamaanisha wanamatch kabila au dini au wanamatch aina za Simu wanazotumia kuchat!Dah tangazo lilikuwa tar 11,
Tar 15 ushapata mnaye match?
Y'all play too much .. si kwa speed hiyo zaidi ya rocket.
Wote wanatumia galaxyHuwezi jua labda mwenzio anamaanisha wanamatch kabila au dini au wanamatch aina za Simu wanazotumia kuchat!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huwezi jua labda mwenzio anamaanisha wanamatch kabila au dini au wanamatch aina za Simu wanazotumia kuchat!
Last week, leo umefanya hitimisho kuwa mnamatch, duh!!Last week niliandika kama nahitaji boyfriend I need a boyfriend and am so happy kumpata mtu ambae tunamatch.
So application closed
Love you my new baby
Umri wako please?? Je pia mko sexually compatible?? Mmeshajaribu na huku ndani ya wiki??ndio..nimempata humuhumu
Last week niliandika kama nahitaji boyfriend I need a boyfriend and am so happy kumpata mtu ambae tunamatch.
So application closed
Love you my new baby