Masaki road
Member
- Jul 16, 2020
- 52
- 86
- Thread starter
- #21
Wawili nouma bado sijasimama kiuchumi vizur
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWaarabu wekezeni tu kwenye bandari yetu, watu wenyewe ndio hawa
Anakaribishwa.makaveli10 akusaidie tips aliwezaje kuwapangua wote walio mfata pm baada ya bandiko lake na hatimae kuondoka na mmoja na ndoa juu
[emoji23][emoji23][emoji23]Waarabu wekezeni tu kwenye bandari yetu, watu wenyewe ndio hawa
Depends,wasukuma hawakawii kula kichwa ukiwekeza wanakuwahi habari ziwafikie inaanza kutrend.
We jamaa uc4ç tutumie njia moja kupata jibu ,, we tumia fo 4figure mimi na simplify expressionHivi huko unapoishi hakuna wadada Hadi utafute mke jf? Naona Kama unabet kijana then kesho kesho kutwa uje na bandiko la kulalamikia wanawake..
Acha uongo wewe😅 Hao sio wachagga budderDepends,wasukuma hawakawii kula kichwa ukiwekeza wanakuwahi habari ziwafikie inaanza kutrend.
Mtuache wakinga jmn..tuko busy kutafuta pesaWanawake wa Mbeya na Wakinga asilimia kubwa ni wahuni pro max.