Mrejesho: Kilichonipata Malta ni zaidi ya Ukraine, siku 18 za kufa na kupona

Nakumbuka kwenye huo Uzi Mimi nilikuwa wa Kwanza kukushauri usiende kwenye hiyo nchi,watakunanii..

Mwana kulitaka,mwana kuli-get

Haya tunasubiri mwendelezo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hapo hatakuwa na mwendelezo tena ila pole yake ndiyo hivyo wanaume huwa tunapambana na visanga.Ahakikishe huyo binti hamlaghai tena kwa kumtumia vi dollar vyake au kumweleza atamfuata hapa Bongo.
 
Dezo zita wauwa vijana,
 
This is too good to be true.

Umejitahidi kutunga lakini kuna maeneo muunganiko wa matukio unakataa
 
Wakaniambia nisimame nikumbatie ukuta ,sikurespond ,yule mwafrika aliyejaza muscles,akanipiga kofi kichwani ,ikabidi nisimame,nikakumbatia ukuta,yule mwafrika akanisogelea akanishusha suruali.
 
Vipi kuhusu kukatwa kidole je polisi ya huko ni kwamba sio kosa? Na kama ni kosa kesi itaendeshwaje na wewe haupo na jee Tz hatuna balozi huko?
 
kwahio ulipanda pipa kwenda kula kichapo
 
Mazee Naitafuta hio snene ya kukatwa kidole mbona siioni Au Nimesoma vibaya!?
 
Unafunga safari kwenda nchi ya watu mfukoni una sifuri?? Ni akili matope? Me hata nikitoka na mtu lazima mfukoni niwe vizuri. Ikitokea sina basi ukute ni mtu tumezoeana sana na lazma nitamjulisha kwamba sina Mia kabla ya kukubali kutoka.
 
Hongera mkuu , umejitahidi kutunga, ni utunzi mzuri jitahidi tu kuunganisha matukio vizuri.
 
Vipi kuhusu kukatwa kidole je polisi ya huko ni kwamba sio kosa? Na kama ni kosa kesi itaendeshwaje na wewe haupo na jee Tz hatuna balozi huko?
Kuhusu ubalozi, balozi za Tanzania huko nje ni ofisi za kupumzikia kwa wale waliopewa zawadi za ubalozi ama gereza la kuwaadhibu wanaotishia nafasi zetu kisiasa na hatuwezi kuwafuta mojakwamoja kazi. Hakuna msaada wa kiutu pindi utakapouhitaji, kwmba unaweza kuupata huko ubalozini na hakuna kitu tutafanya
 
Reactions: Cyb
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…