Mrejesho: Kilimo cha mpunga Bahi

Mkuu hongera.
 
Mwaka 2018 ilikuwa sherehe ya mavuno bahi, ila 2019 ni kipigo cha mbwa koko, by the way hongera mkuu
Mm binafsi nilienda kukagua mashamba ya pale bahi kwny scheme na sikuvutiwa, kilimo cha bahi kinategemea mvua zinyeshe manyara ndo ziujaze maji ule mto wa msimu. Nikaona ni bora kulimia sehemu yenye maji ya uhakika
 
Nyanya ni hatari zaidi,mwaka huu ndio imekua na bei nzuri.
 
Uko sahiii mkuu
 
Hongera sana mkuu cha muhimu hapo umepata Elimu nzuri sana ya kilimo hasa kwa vitendo. Nikija kwa upande wa faida mwaka huu hujapata faida Na inawezekana hata mtaji haujarudi
Gunia 54 x 65,000= 3,510,000.
Gharama za kulima mpunga kwa ekari 1 minimum ni laki 8 kwa ekari 5 unakuta ushatumia million 4.

Usikate tamaa umepambana Na changamoto za kilimo kwa vitendo next time utapiga vizuri
 
Tenga 142 ?????
 
.... msaada wakuu:

_kwa aliewahi kulima mpunga morogoro gharama ya eka moja ni bei gani, kuanzia kukodi shamba mpk kuvuna (jumla)

mbeya na bahi, nazo pia nahitaji msaada nijue gharama.
 
Tafuta eneo la umwagiliaji,kilimo Cha mvua hakiaminiki-nimelima heka3,nimepata gunia 120-trust me mbolea mara3-kilimo Cha umwagiliaji kinalipa,Kila gunia debe 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…