Mrejesho: Kuagiza rice combine harvester toka China

Mrejesho: Kuagiza rice combine harvester toka China

Mkuu Kwanza Hongera na Mungu akubariki na akusimamie kwenye Kilimo na maamuzi uliyofanya.
Mie itabidi niingie alibaba niangalie ya Upande wa Mihogo na Viazi,maana nimenunue hakari kadhaa Mkuranga,nasubia mwakani Aliekodi avune ili mie nianze Rasmi.
Umenipa Moyo sana,maana wenzio pesa hiyo wengenunua Mark X watese mjini
 
Aisee wabongo kwa hashua kama mie,
Eti muda wote namie nakesha na Alibaba mpaka bundel ikaisha,aaisee kuna vitu vya hatari huko
Ila pesa sina,lakini ukiingia unaweza kwenda kuiba,bei rahisi halafu unapewa siku chachee kufikika mzigo wako
Mkuu wewe Gari lako hilo la shamba lilichukua muda gani kufika?
 
Halafu hembu niambie Mkuu Driver wako ana License?au huko Traffic wa mpunga hakuna?
Tehetehetehe,utani kidogo jamani,maana Shambani akitokea Traffic lazima ujue mchawi,hahaha,halafu Kumbe mpaka utingo yumo?aiseee
Hana licence mkuu, ila ana uzoefu wa kuendesha hizo mashine baada ya kujifunzia huko huko.
 
Aisee wabongo kwa hashua kama mie,
Eti muda wote namie nakesha na Alibaba mpaka bundel ikaisha,aaisee kuna vitu vya hatari huko
Ila pesa sina,lakini ukiingia unaweza kwenda kuiba,bei rahisi halafu unapewa siku chachee kufikika mzigo wako
Mkuu wewe Gari lako hilo la shamba lilichukua muda gani kufika?
Siku 32 mpaka dar mkuu.
 
Kuna watu huwa hawasomi mabandiko ya wengine ! Au huwa wagumu wa kuelewa?
Mleta mada ameshajibu maswali ya wadau kuhusu gharama za huo mtambo ,kwamba katumia US$ 12OOO kununulia na kusafirisha hadi Bandarini nadhani Dar.Ila gharama za utoaji hapo Bandarini yaani kodi na mambo yahusuyo ushuru ametumia Tanzania Shilingi Milioni tatu na nusu( 3,5M).

Lakini Waswahili bado tunauliza tena na tena swali hilohilo?
 
Kuna watu huwa hawasomi mabandiko ya wengine ! Au huwa wagumu wa kuelewa?
Mleta mada ameshajibu maswali ya wadau kuhusu gharama za huo mtambo ,kwamba katumia US$ 12OOO kununulia na kusafirisha hadi Bandarini nadhani Dar.Ila gharama za utoaji hapo Bandarini yaani kodi na mambo yahusuyo ushuru ametumia Tanzania Shilingi Milioni tatu na nusu( 3,5M).

Lakini Waswahili bado tunauliza tena na tena swali hilohilo?

Hivi matrekta yanatozwa ushuru!
 
Nadhani kwa wakulima wadogo hii ni nzuri pia......

hqdefault.jpg
Iyo ni Tshs ngapi?
 
hongeara sana nami ninayo combine na tractor ninauza ila nikumbwa na ni imara sana kwa anaehitaji anitafute ipo dar..0714242879
 

Attachments

  • IMG-20150813-WA0007.jpg
    IMG-20150813-WA0007.jpg
    204 KB · Views: 83
  • IMG-20160316-WA0011.jpg
    IMG-20160316-WA0011.jpg
    288.7 KB · Views: 85
Hongera Sana. Wewe ni mmoja wa watu wachache mmeleta thread ya maana JF kwa mwaka huu.
 
Hongera Sana. Wewe ni mmoja wa watu wachache mmeleta thread ya maana JF kwa mwaka huu.
.nachelea kusema kwamba
Hongera Sana. Wewe ni mmoja wa watu wachache mmeleta thread ya maana JF kwa mwaka huu.
.nachelea kusema kwamba mood wawe wanachambua mwisho wa mwaka au mwezi tuwe tunapata muanzisha uzi boraaa na maridhawa na msaada kwa wanajamaa awe anapatikana na anatambulika na uongozi
 
Back
Top Bottom